Recent content by zebedayoe

  1. Z

    Boko Haram yawaachia huru mabinti 82

    Ahimidiwe bwana wa mabwana siku zote
  2. Z

    Sheikh Mkuu Dsm aibua utata Freemason

    Sizani kama kuna makosa yeyote kwa sheikh kufanya maombezi juu ya kiumbe kilichopotea,niwajipu wa watumishi wa Mungu wote walio hapa Duniania ili kuokoa roho za watu.
  3. Z

    Sumu iletayo kansa yagundulika katika mbegu za Alizeti(sunflower seeds)

    Elimu haina mwisho inatupasa tusome kukuchapo, kwani twapaswa kuelewa nafaka inapobadilika na kuingia ktk hali ya uozo na ukailazimsha kutengeneza mfano mafuta ni sawa na kudili pombe kuwa mafuta ya gari kitu ambacho kitaadhili mfumo mzima wa gari. Mfano tu.
  4. Z

    Sumu iletayo kansa yagundulika katika mbegu za Alizeti(sunflower seeds)

    Wenye kudhibiti ubora wa bizaa ni kazi yao kuhakikisha baada ya kuwa imezibitishwa na mamlaka ya chakula na dawa , maana wao ndio wanao weka nembo tbs kumaanisha kuwa hiki n salaama kabisa. How this now?
  5. Z

    Kiapo cha Baraza la Mawaziri na ukimya wa Lowassa!

    Kilicho fungwa katka furushi anakijua yule tu aliyekifunga.
  6. Z

    Mtanzania Simbu, ashika nafasi ya 5 mbio za Marathon Uingereza, Mkenya aongoza

    Jitihada zinahitajika sana ,bila hivo hafiki mbali
  7. Z

    Tahadhari video inatisha: Dada huyu alifanya nini hadi kutendewa haya?

    Inasemekana huyu dada alienda ugaibuni kufanya kazi za ndani so mambo yameenda sivo ndivyo , maana kwa sasa pia kuna campuni za kinachi zinazamini hawa dada zetu kwenda nje kufanya kazi . Kumbe wao wanachokitaka ni figo,ini, na moyo. Ni bidhaa inayouzika sana dubai. Take care the world has changed
  8. Z

    Ukipata nafasi ya kumshauri ushauri mmoja tu Mh. Rais Utamshauri nini?

    Atoe pesa ziende kwenye mirad ya jamii ikiwa ni kutoibana ktk hazina
  9. Z

    Anguko letu laja kwa kasi kubwa

    Nikweli unachokisema , kwani taifa kam taifa linahitaji kiongozi mwenye maono, takaye weza kuongozo maono ya taifa na kuyafikisha, kingine awe mtu aliye itwa kwa ajili ya kuwatumikia watu na si chama kama tunavyofanya leo. Mwenye kujitoa kama musa alivyojitoa kuwa toa wana wa misri.
Back
Top Bottom