Mwigulu Nchemba unasemaje kuhusu uvamizi wa jana?

McCain

JF-Expert Member
Dec 2, 2016
1,169
517
45a4cc54913eaa3e4f0fc6029d636e6b.jpg
2f2f61203b961025d92292d520f6bdc8.jpg




Ni jambo la aibu sana kuona waziri anayehusika na ulinzi+usalama yuko kimya hadi leo lakini tukio lingewakuta police siku hiyo hiyo angezungumza chechote halafu hizi silaha wizara husika iwe makini on a sasa zinatumika isivyo.



Je, Makonda naye anasemaje kuhusu bilirubin?
 
45a4cc54913eaa3e4f0fc6029d636e6b.jpg
2f2f61203b961025d92292d520f6bdc8.jpg




Ni jambo la aibu sana kuona waziri anayehusika na ulinzi+usalama yuko kimya hadi leo lakini tukio lingewakuta police siku hiyo hiyo angezungumza chechote halafu hizi silaha wizara husika iwe makini on a sasa zinatumika isivyo.



Je, Makonda naye anasemaje kuhusu bilirubin?
Chechote => Chochote

BTW natumai atalizungumzia karibuni
 
Jamaa kanyukwa hadi analia kwa sauti eti.. Maamaa.. Mamaa weee njoo unisaidieee nakufa mimiii. Hahahahaaa ila Waziri atoe tamko na nafsi zetu zitulie.
 
Hata yeye Mwigulu hajui chochote cha nchi hii mambo yote anayajua Bashite na "Bwana Mkubwa" wake
 
45a4cc54913eaa3e4f0fc6029d636e6b.jpg
2f2f61203b961025d92292d520f6bdc8.jpg




Ni jambo la aibu sana kuona waziri anayehusika na ulinzi+usalama yuko kimya hadi leo lakini tukio lingewakuta police siku hiyo hiyo angezungumza chechote halafu hizi silaha wizara husika iwe makini on a sasa zinatumika isivyo.



Je, Makonda naye anasemaje kuhusu bilirubin?
Mwigulu atasema kama alivyosema kuhusu yule jamaa aliyemtolea Nape bastola na kisha atatoa amri kwa polisi wawatafute hao mazombi halafu CP Sirro atatangaza kuwa Polisi wanawasaka hao mazombi na mchezo utakuwa umeishia hapo.

Vv
 
Mwigulu atasema kama alivyosema kuhusu yule jamaa aliyemtolea Nape bastola na kisha atatoa amri kwa polisi wawatafute hao mazombi halafu CP Sirro atatangaza kuwa Polisi wanawasaka hao mazombi na mchezo utakuwa umeishia hapo.

Vv
Ilikuwaje sijajua nini
 
Back
Top Bottom