Kwanza sisi ni watanganyika wala si watanzania bara!dar ni sehemu ya kibiashara kuzaliwa dar haimanishi we ndo unajua hii nchi,mbona watu toka unakokuita mkoani ndo wanaifanya dar iwe unavyoiona?kwani kipindi cha utumwa waarabu hawakufika bara?nahisi ulikimbia shule,hujui tofauti ya wazanzibari...
Hivi si hili jukwaa la elimu,sa waende jukwaa gani?ebu mtoa mada waelekeze,kumbuka hakuna anayelazimishwa kutoa ushauri!ukiona huna cha kusema piga kimya pumb*f..u kabisa
sa unashanganini?ebu fanya analysis ya watu walofeli gs utagundua kitu mguu,lazima kutakuwa na tatizo mahali haiwezekani wanafunzi wafeli gs kuliko masomo ya kwenye michepuo yao.Amini usiamini hapo kuna kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.