Mamilioni ya watanzania wazalendo wamepaza sauti zao kupinga kuondolewa kwa kigezo cha mtu kuruhusiwa kuingia jeshi baada ya kupitia JKT.
Watanzania kwa umoja wao wamepinga azimio la Bunge kwa kuwa ni kichekesho na umaamuma mkubwa. Kitendo cha Bunge kupitisha azimio hilo kinaenda kuua kabisa...
Kupitia ukurasa wake wa X Meya Mstaafu wa Ubungo Boniface Jacobo ameandika namnukuu
" Taarifa ya ununuzi wa MAJUMBA nje ya nchi uliofanywa na mawaziri INATISHA
1.Maziri kutoka Zanzibar kanunua hekalu la Mabillioni ya pesa,DUBAI
2.Waziri mmoja kutoka Tanga amenunua mahekalu 2,South Africa...
Mwigulu tumponde kwenye siasa zake lakini Uchumi wa nchi kaumudu sana.
Majirani wanakiri hilo sana, nilikuwa kisumu juzi, wanatupongeza sana linapojuja suala la stability ya uchumi na siasa za nchi.
Mwigulu atakuwa Rais baada ya Samia kwa fact ya kukuza uchumi na collection ya tax.
Wengi huwa...
Mwandishi nguli wa kujitegemea Idris Sebuleni ameandika katika ukurasa wake wa Twitter (x) maneno haya. Namnukuu"
"Nimesoma ripoti yote ya CAG, Taarifa za LAAC, PAC na PIC hakuna mahali Mwigulu ametajwa kuhusika na wizi wa hata thumuni.
Hakuna sehemu hata moja imetaja ameshiriki kusababisha...
TAARIFA za kuaminika kutoka ndani ya kikundi cha CHADEMA zinasema kuwa mpango na mkakati wa kumpokea Luhanga Mpina kama mwanachama wao mpya kuelekea uchaguzi wa 2025 umekamilika na anatajwa kuwa ni mtu anayekwenda kupewa nafasi ya umakamu Mwenyekiti wa kikundi hicho kufuatia mgogoro unaoendelea...
MPINA HAJUI HESABU, ACHA NIMREJESHE DARASANI
1. Katika Bajeti 44 trilion zinapigwaje 30 trillion? Afu na mishahara ya Trilioni 20 ikaendelea kulipwa? Huku mtaani miradi ya matrilioni ikaendelea kutekelezwa? Hata hili umeshindwa kuling'amua?
2. FIU kwa sehemu kubwa inachambua miamala ya sekta...
Mimi si mtu wa siasa ila kama mdau wa uchumi ninatamani niongelee mambo kadhaa katika context hii ya kiuchumi.
1. There is no way tax payer amewahi kukubaliana na issue inayohusiana na ulipaji wa kodi kwa hiyari, popote duniani na hii ni kwa sababu kodi inauma.
2. Kariakoo ni onus ya mapato...
Wanajamvi wasalaam.
Napitia report ya AFDB, IMF na World Bank hakika ni report zilizoshiba sana.
Report hizi kwa pamoja zimeangazia masuala mtambuka, waataalamu mahiri wa uchumi wamechambua kinagaubaga.
👉 Projection ya uchumi iko vizuri sana, uchumi unakuwa kwa kasi sana kuliko taifa lingine...
Watanzania wengi katika mitandao ya kijamii tofauti wamemtaka Msanii na Mfanyabiashara Nasibi Abdul almaarufu Diamond Platnumz kulipa Kodi na sio kuleta janja janja.
Wakitoa maoni katika kurasa tofauti, Wananchi wameshangazwa na namna msanii huyo ameishambulia Taasisi yenye uweledi kubwa kama...
Baada ya uzushi na upotoshaji wa muda mrefu, niliamua kuingia chimbo kutafuta ukweli wa nani ni mmliki wa Mabasi hayo.
Nimekuja na facts ambazo Kila mwenye akili timamu anaweza kuzipata mwenyewe maana zinapatikana Kila mahali.
Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury Buses ni Mtanzania Mwenzetu...
ELIMU YA BURE KWA MARTIN MARANJA MASESE NA WANAOMTUMA
Elimu hii ninayokupatia ni bila ada, uwafikishie na maboss zako.
Sababu za Changes unayotaka kulazimishia mambo yenu Iko hivi;
Mosi, wakati Waziri anasoma bajeti Bungeni ilikuwa ni estimate tu, hii ya sasa ni Actual kutokana na uhalisia...
Kamanda Peno, Fedha za Mfuko wa Jimbo zimetumika hapa machame kukarabati Shule ya Lambo Extended ambayo amesomea Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe, Shule ilikosa hata choo wanafunzi wakawa wanajisaidia machakani ilhali Kuna Mbunge tena Mwanachadema Mwenzetu.
Naona Saashisha Mafuwe kaja kujenga choo...
BARUA YA WAZI KWENDA KWA DKT MWIGULU LAMECK NCHEMBA
Anaandika Hassan Ruangwa
Wasalaam Dkt Mwigulu Lameck Nchemba, Natumai ubukheri wa afya ya akili na Mwili, Dhumuni la Barua yangu kwako ni kusisitiza kuwa lazima uendelee kuonesha ukomavu huohuo bila kupepesa maneno, Kodi ya Serikali lazima...
WALIOTUMWA KUIVURUGA CCM JIMBO LA HAI WAANZA KUHAHA, MCHANA WAKO CCM USIKU KWA MBOWE
Na Imani Kwayu
Uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi katika Jimbo La Hai umeacha makovu makubwa Kwa wasaliti wa Chama hicho waliokuwa wamejichimbia kimyakimya wakitega michongo yao ya namna ya Kupenyeza watu wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.