View attachment 2886260
Kupitia ukurasa wake wa X Meya Mstaafu wa Ubungo Boniface Jacobo ameandika namnukuu
" Taarifa ya ununuzi wa MAJUMBA nje ya nchi uliofanywa na mawaziri INATISHA
1.Maziri kutoka Zanzibar kanunua hekalu la Mabillioni ya pesa,DUBAI
2.Waziri mmoja kutoka Tanga amenunua mahekalu 2,South Africa
3.Waziri mwingine kutoka Tanga kanunua Zanzibar mahekalu 2
Picha zinakuja
Rai yangu:
Tanga kuna Mawaziri watatu January Makamba, Jumaa Aweso(Aweso kaoa Zanzibar) na Ummy Mwalimu.
Zanzibar inasemakana ni Waziri aliejiuzulu ndugu Simai.
Kazi kwenu wana jamvi.
Kupitia ukurasa wake wa X Meya Mstaafu wa Ubungo Boniface Jacobo ameandika namnukuu
" Taarifa ya ununuzi wa MAJUMBA nje ya nchi uliofanywa na mawaziri INATISHA
1.Maziri kutoka Zanzibar kanunua hekalu la Mabillioni ya pesa,DUBAI
2.Waziri mmoja kutoka Tanga amenunua mahekalu 2,South Africa
3.Waziri mwingine kutoka Tanga kanunua Zanzibar mahekalu 2
Picha zinakuja
Rai yangu:
Tanga kuna Mawaziri watatu January Makamba, Jumaa Aweso(Aweso kaoa Zanzibar) na Ummy Mwalimu.
Zanzibar inasemakana ni Waziri aliejiuzulu ndugu Simai.
Kazi kwenu wana jamvi.