Hapanaaa', jamaa aaca mchecheto wa kumwagwaaa'''. Umesanya za kutosha,tulia uangalie uelekeo mpya. Awe au asiwe Mama yako''.....umesomeshwa chini ya Dola la sisiem, hebu shukuru Mungu,sisi wengine japo tumekomaa na sisiem kwa miaka lukuki na hatuna hata chapaa bado tunaaminia ONE day yes