CHADEMA mlifunika kombe WAZANZIBARI WAMELIFUNUA. Kazi kwelikweli.

[h=1]Catholic Diocese of Zanzibar[/h]


Web Sponsors
bullet.gif
Catholic Singles
bullet.gif
Catholic Match
bullet.gif
CatholicMatch
bullet.gif
Chocolate.com
show
bullet.gif
Adopt-a-Baby
bullet.gif
CatholicMatch
bullet.gif
Work from Home
bullet.gif
Catholic Match
bullet.gif

bullet.gif

bullet.gif

bullet.gif
ph121elpdjh2745C8B6243BA5A55
bullet.gif

bullet.gif

bullet.gif
show
bullet.gif


View all Sponsors
Sponsor this site


Search our Site
dadgirl_pic.gif
Search for...

Contact Us!
Contact us by using our convenient online form.


Part I "Yesterdays History"
The Earliest Attempt To Found the Church: Portuguese Friars:[FONT=Verdana, Arial, Helvetica] [/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]Although very little is known about the presence of the Catholic Church in Zanzibar
during the 200 years between 1500 and 1700 when the Portuguese were on the east coast of Africa, there is some evidence of its presence. A small chapel at Mambo Mzige, used by the Augustinian Friars
bd08199_.gif
and later by the Capuchins and for seven years by the Spiritan missionaries until they could build, is incorporated in the Old Fort. which was built by the Portuguese in Zanzibar Town and still stands today. There is also the Swahili word "gereze", meaning "prison", which has its roots in the Portuguese word "igreja". meaning "church", but we don't have a record of how the two words became related.
[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica]
Was a church turned into a prison?​
Reference is made in John Baur's 2000 YEARS OF CHRISTIANITY IN AFRICA to an Augustinian Friar in Zanzibar who "enjoyed the friendship of the Sultan". Augustinian archives refer to Zanzibar as "the most fruitful mission centre". East Africans associated these Friars with service to the Portuguese traders and military personnel. Whatever else their activities might have been, all came to an abrupt end when Sultan . responding to a call from the people of tacked Zanzibar in 1650, killing many of the foreigners, including Augustinian Friars.
[/FONT]
 
Zanzibar ni kisiwa cha wakristo lakini leo wazanzibari wanawaonea kuliko mbwa
 
I wish ningepewa nafasi ya kufanya maamuzi, nintoa uamuzi ambao ni open kwa mwaka mmoja wa kuwa tuvunje muungano angalau kwa mwaka mmoja ili wanaotaka na kutete hilo waonje joto ya jiwe. Watajuta na kulia usiku na mchana na kuandamana kuutafuta muungano hata kwa masharti ya kuwa bana kuliko ilivyo sasa wao wanakula raha kwa jasho la wabara ambao wako kimya kwa ujenzi wa taifa na masuala yenye maslahi kwa nchi.

Amini usiamini wanaodai muungano uvunjike ni wale wavivu ambao wanadhani muungano ukivunjika watakula wakiwa wamelala kwa misaada kutoka urabuni.
 
"vinchi vidogo vigogo hivi mnazungumzia makabila, mnaona fahari kupanda basi la makabila! wenzenu ulaya wanaungana ninyi mnazungumzia mambo ya kijinga kijinga" - mwl Nyerere.
 
"vinchi vidogo vigogo hivi mnazungumzia makabila, mnaona fahari kupanda basi la makabila! Wenzenu ulaya wanaungana ninyi mnazungumzia mambo ya kijinga kijinga" - mwl nyerere.

best quote in the world! Mtu akinikumbusha haya na nikiangalia mwazo mfu ya mrais waliomfuta huwa nalia machozi japo sio ya damu.
 
Muungano ukivunjika na CCM nayo pia itavunjika na kujiita Tena TANU hapo ndipo Utata mkuu ndio maana hawana mpango wala hawataki kuuvunja Huu Muungano..
 
Hicho ni kimbunga hata mti kinang'oa.tusubiri tuone sio kama cdm mara hawamtambui rais mara wamemtambua.
 
"vinchi vidogo vigogo hivi mnazungumzia makabila, mnaona fahari kupanda basi la makabila! Wenzenu ulaya wanaungana ninyi mnazungumzia mambo ya kijinga kijinga" - mwl nyerere.

ndio yeye nyerere aliotaka kujifanya mungu wa watanzania...alijipa uwezo wa kujua kila kitu na kuwa sahihi muda wote.
 
We jamaa siwezi kukuita MPUMBAVU natakuita MJINGA. Kwa nini? kwa sababu na hao Wazanzibari wanaosema hawautaki Muungano naona niwaite WAJINGA.

1. Wewe kama wao mnaongozwa na HISIA pasipo tafakuri. Mie nafikiri na of course ni fact wanaotakiwa kuanzisha tifu la kutotaka Muungano kwa saababu za kawaida ni Wa Tanganyika. Wanakula, wanalala, tunawaoza kwa tafsiri nyepesi tu wao wamekaa tu kama jitoto jinga la kiume ambalo lishakuwa liko kwa wazazi wake linakaaa linakunywa chai asb, mchana ukifika linauliza mama mbona hujapika, jioni linakula tena linalala linaaamk na mtindo ni huo huo. So ni mizembe hii mizenji ndugu zetu.

2. Kwa maana ya ndani sasa Muungano hauwezi kuvunjwa kwa sababu tunaamini wanaotaka uvunjwe si Wazanzibari bali ni hawa maharamia. Muungano kama hujui uko ki- usalama strategies. Hakuna mtu yeyote wa bara mwenye kufikiria 'mbali zaidi' atasema uvunjwe, hata mimi wakati nafikiria karibu nataka uvunjwe. Ila natake my time to think inside ad outside the box.

3. If you can not beat them join them. They cant beat Tanganyika. Kelele za bati hazimzuii mwenye nyumba kulala. Wao waandamane, watie saini, tutawalida, hatutatekeleza.

4. Wanakuwa kama watoto wadogo, wamelilia bendera tumewapa, wimbo wa Zanziba tumewapa, hata na wa pemba tutawapa. Je, wanajua maana ya bendera, wimbo wa taifa? Wameambiwa Zanziba si nchi wakalia tukawambia haya Zanziba ni nchi, imewasaidia nini. Hata hapo nKenya hawajulikani. These guys Bwana?

5. Wapemba kwa uchache kuwataja hawana pa kufanyia biashara zao zaidi ya bara.

6. Nilikuwa napita nikaona huu uzi nikaone nisimame kidogo
 
"TABIA YA KUFUNIKA KOMBE MWANAHA APITE ITAKUJA ITUcost" ni kauli aliyotoa mbowe bungeni wakati wa kupitisha mswaada wa katiba wenye mapungufu kibao. Ambao zenji walichana na hawakufuatwa kuuliza tena.

Baada kuupigia kelele. Zitto akawaelekeza pa kuwazibia mdomo. Mkaenda ikulu mlichojadilia na kukubaliana siri yenu mpaka leo.

Mkakubali tusijadili kuwepo au kuwepo kwa muungano. Siwalaumu kwani mlipofikia iliitajika busara zaidi.

Biblia inasema mkinyamaza ata milima itasema.

WAZANZIBAR TENA BILA YA MUONGOZO WA CHAMA CHOCHOTE WANASEMA MUUNGANO HAWAUTAKI. Moto ndio unakolea. Na wanahaki ya kufanya hivyo kwani wasiwasi wao ni halali.

Mafuta kuwa ya muungano wakati dhahabu, tanzanaiti na almasi mikataba inatuachia mashimo na milahaba ya 4% na tunajisifu imepanda!

Wezi wa bajeti ya muungano wanavyotanua mtaani.

Hawajadanganyika na nusu ya wajumbe wa kamati. Chadema mlifunika kombe zenji wamelifunua akuna mwanaharamu

Nb. Wachangiaji wengi hawataki kukosolewa nategemea kutukanwa humu. Ila ukilazimisha tuwe na mtazamo moja hakuna haja ya kujadili. Na naamini mtu hujifunza zaidi kwa kukosolewa kuliko kusifiwa. Sifa zinalevya. Mf watz wakarimu madini yanaenda.

Tumechoshwa na mambo haya VUNJENI BASI TUPUMUE!
 
I wish ningepewa nafasi ya kufanya maamuzi, nintoa uamuzi ambao ni open kwa mwaka mmoja wa kuwa tuvunje muungano angalau kwa mwaka mmoja ili wanaotaka na kutete hilo waonje joto ya jiwe. Watajuta na kulia usiku na mchana na kuandamana kuutafuta muungano hata kwa masharti ya kuwa bana kuliko ilivyo sasa wao wanakula raha kwa jasho la wabara ambao wako kimya kwa ujenzi wa taifa na masuala yenye maslahi kwa nchi.

Amini usiamini wanaodai muungano uvunjike ni wale wavivu ambao wanadhani muungano ukivunjika watakula wakiwa wamelala kwa misaada kutoka urabuni.

Nimekukubali mtu wangu, Wakati umefika sasa wa kuwaambia watu hawa ukweli. Ile ndoto ya kupata misaada kutoka katika nchi za kiislamu ambayo wanaamini hawawezi kuipata ndani ya Muungano ndio inayowatia kiwewe. Nchi gani duniani inayoendelea kwa kutegemea Misaada? Chapeni kazi acheni kupenda dezo dezo!
 
Matatizo ya siku zote za muungano kwa maoni yangu yanaweza kupunguzwa kwa njia mbili tu, inayotekelezeka na isiyotekelezeka. Njia hizo ni (1) kuunda serikali moja tu (SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - SJMT), yaani SMZ ielee (be in suspense) kama inavyoelea TANGANYIKA; na (2) kuwa na serikali tatu: SMZ, SJMT na ST(SERIKALI YA TANGANYIKA). Njia ya kwanza ya kuwa na serikali MOJA, SJMT pekee, haitekelezeki bila ya kuingia gharama ambazo hazilipiki. NTAELEZA japo kidogo.


ZANZIBAR kwa sasa kiuhalisia ni nchi (dola/state) kamili kabisa. Na hapa naomba nieleweke kuwa nimesema 'kiuhalisia' ZANZIBAR is a state, japo kisheria ZNZ is not a state (tazama hukumu ya MAHAKAMA YA RUFANI TANZANIA kati ya MACHANO KHAMIS ALLY & OTHERS V SMZ, kesi ya uhaini ya akina MAALIMU SEIF). Swali ni je, kwa nini ZNZ is a dola? KWA SABABU (1) wananchi wa ZNZ wanaamini kuwa ZNZ ni dola na taifa huru. Kwa kuwa ZNZ NI TAIFA HURU UKITAKA KUIFUTA zitaibuka vurugu ambazo gharama zake hazilipiki ; na (2) ZNZ ni dola kwa kuwa SJMT imeiruhusu itende kama dola kamili, matendo ya ZNZ ni ya kidola. Japokuwa kwa Katiba ya JMT RAIS wa ZNZ hadhi yake ni waziri katika SJMT, AMERUHUSIWA atende kama mkuu wa dola kwa (a) kupigiwa mizinga, (b) kutoa amri kwa mawaziri wenzake wa SJMT, (C) KUPEWA ULINZI wa RAIS wa dola kamili nk.


Kwa nini TANGANYIKA inadaiwa irudi? KWA sababu, kwa maoni yangu, (1) ZNZ imekuwa dola ndani ya dola JMT kinyume na inavyotakiwa iwe; (2) kukosekana kwa mipaka inayoonekana wazi kati ya mamlaka ya SMZ na SJMT, ambapo sasa inaonekana kama vile JMT inaongozwa marais wawili na makamu wa rais watatu na mawaziri wakuu 2 nk. Kuthibitisha hayo, fuatilia matamko au maagizo yanayotolewa na viongozi kutoka ZNZ, tena kwa mambo ambayo si ya muungano, kwa watu wa TANGANYIKA na viongozi wao. HAPA HASIRA ZINAPANDA, na sauti ya madai ya TANGANYIKA inapazwa: na (3) kwa kuwa TANGANYIKA haijawahi kufa, ipo inaelea majukumu yake yakiwa yanatekelezwa na SJMT (TAZAMA KATIBA ya JMT IBARA ZA 4, 64 nk). KWA HIYO NI SUALA LA KUSEMA SASA, TANGANYIKA RUDI KAZINI.

FAIDA ZA KURUDISHWA kwa TANGANYIKA ni (1) kuondoa mikanganyiko ya kimamlaka kati ya SMZ na SJMT, kwa TANG kutekeleza mambo yanayoihusu yasiyo ya muungano kama inavyofanya sasa hivi SMZ kwa upande wa ZNZ, na hivyo kupunguza kama siyo kuondoa kero za muungano; (2) HAKI ya TANG kuishi kwa mujibu wa mkataba wa MUUNGANO kati ZNZ na TANG wa 1964; (3) kupunguza muzigo wa TANG inayoelea kuendesha shughuli za JMT, kwani TANG ikirudi basi kwa nia ya kuleta usawa ZNZ na TANG zitachangia kwa usawa kuendesha SJMT, kama ambavyo MCHANGO wa BURUNDI katika Jumuia ya AFRIKA MASH (JAM) unavyolingana na ule wa Kenya na Tanzania, na ndiyo maana BURUNDI inapewa haki sawa na nchi hizo katika JAM. Kwa sasa ZNZ inadai usawa kutoka JMT wakati haichaingii kitu chochote katika kuiendesha, wanafanya JMT inayogharimiwa na TANG kama sehemu ya kuja kuchuma vyeo, mishahara minene pasipo wao kuchangia katika MFUKO WA PAMOJA WA FEDHA WA KUENDESHA JMT; na (4) muhimu zaidi, TANG nayo kupanga mikakati yake ya kuendesha shughuli za maendeleo ya watu wake.


HOJA za kuwa MWL JKN alisema (1) kurudishwa kwa TANG ni sawa na (2) kuvunja muungano hazina mashiko. KWANZA JKN mwenyewe hakueleza ni kwa namna gani TANG ikija MUUNGANO utavunjwa. PILI hata kama alichosema MWL kina chembe za ukweli, ambazo kwa bahati mbaya mimi sizioni, MWL hakuwa MOHAMED wala YESU kwamba alichosema hakibadiliki daima. I humbly submit, part of my considered opinion ...

kutokuutaka muungano karne hii ni kama wewe ukiamua kujipa haki ya kuingia mitaani bila nguo, ama ukijipa haki ya kutokula vyakula vya kulinda mwili wako na maamuzi mengine ya aina hiyo ambayo yataheshimiwa lakini hayataachwa kuhojiwa.

.Agenda ya wazanzibari wenye akili ingekuwa siyo kuutaka muungano au la. Agenda ya wenye akili ni AINA ya MUUNGANO,SHIRIKISHO NA SERIKALI TATU, SERIKALI MOJA,AMA SERIKALI ZA MAJIMBO NA MOJA YA SHIRIKISHO ama huu wa Serikail ya Muungano na ya Zanzibar
 
[h=1]catholic diocese of zanzibar[/h]




search our site
dadgirl_pic.gif
search for...

contact us!
contact us by using our convenient online form.


part i "yesterdays history"
the earliest attempt to found the church: Portuguese friars:[font=verdana, arial, helvetica] [/font]
[font=verdana, arial, helvetica]although very little is known about the presence of the catholic church in zanzibar
during the 200 years between 1500 and 1700 when the portuguese were on the east coast of africa, there is some evidence of its presence. A small chapel at mambo mzige, used by the augustinian friars
bd08199_.gif
and later by the capuchins and for seven years by the spiritan missionaries until they could build, is incorporated in the old fort. Which was built by the portuguese in zanzibar town and still stands today. There is also the swahili word "gereze", meaning "prison", which has its roots in the portuguese word "igreja". Meaning "church", but we don't have a record of how the two words became related.
[/font]
[font=verdana, arial, helvetica]
was a church turned into a prison?​
reference is made in john baur's 2000 years of christianity in africa to an augustinian friar in zanzibar who "enjoyed the friendship of the sultan". Augustinian archives refer to zanzibar as "the most fruitful mission centre". East africans associated these friars with service to the portuguese traders and military personnel. Whatever else their activities might have been, all came to an abrupt end when sultan . Responding to a call from the people of tacked zanzibar in 1650, killing many of the foreigners, including augustinian friars.
[/font]

unataka kusemaje?
 
Zanzibar ni kisiwa cha wakristo lakini leo wazanzibari wanawaonea kuliko mbwa

Nakubaliana na wewe mkuu kwa 100%.
Na hata ukiangalia Historia ya Mapinduzi utaona kuwa aliyeongoza Mapinduzi yale ni Fidelmarshal John Okello na baada ya kuhakikisha kuwa nchi imeshapinduliwa na Sultani kukimbilia Mombasa ndipo John Okello akaanza kupanga safu ya uongozi huku akimuita Karume kutoka Tanganyika ambapo alikimbia wakati mapambano dhidi ya utawala wa sultani yakipamba moto. Lakini hadi leo wanaamini kuwa Karume ndie aliongoza Mapinduzi kitu ambacho si kweli na kinachofanya waamini hivyo ni udini kutokana na Okello alikuwa Christian. Pamoja na uvivu wao wa kufuatilia mambo wanajikuta wanaendelea kudanganywa na kuamini kuwa Zanzibar ni nchi ya kiislamu.

Bora Muungano uvunjike tu ili wawarudishe waarabu ndo wanachotaka ili wapewe misaada maana hao kujishughulisha kwao ni sumu. Hofu yangu hawa jamaa wakijitenga Zenji kitakuwa kisiwa cha makundi ya kigaidi kama Boko-haramu, Al-shabaab n.k

Eeeh Mungu tunakuomba utuharakishie kuuvunja Muungano ili tujitenge na hawa watu wavivu wa kufikiri wanaopenda vya bure kutoka kwa waarabu.
 
Zanzibar inaongoza duniani kwa mikwara hewa na matusi, bila kusahau ubaguzi wa hali ya juu
 
Azimo la Zanzibar ndiyo lililoanzisha Ufisadi, Mwalimu akasema "waliporudi kimya kimya toka Zanzibar wenye akili tukajua Azimio la Arusha ndiyo limevunjwa":noidea::noidea:
 
"TABIA YA KUFUNIKA KOMBE MWANAHA APITE ITAKUJA ITUcost" ni kauli aliyotoa mbowe bungeni wakati wa kupitisha mswaada wa katiba wenye mapungufu kibao. Ambao zenji walichana na hawakufuatwa kuuliza tena.

Baada kuupigia kelele. Zitto akawaelekeza pa kuwazibia mdomo. Mkaenda ikulu mlichojadilia na kukubaliana siri yenu mpaka leo.

Mkakubali tusijadili kuwepo au kuwepo kwa muungano. Siwalaumu kwani mlipofikia iliitajika busara zaidi.

Biblia inasema mkinyamaza ata milima itasema.

WAZANZIBAR TENA BILA YA MUONGOZO WA CHAMA CHOCHOTE WANASEMA MUUNGANO HAWAUTAKI. Moto ndio unakolea. Na wanahaki ya kufanya hivyo kwani wasiwasi wao ni halali.

Mafuta kuwa ya muungano wakati dhahabu, tanzanaiti na almasi mikataba inatuachia mashimo na milahaba ya 4% na tunajisifu imepanda!

Wezi wa bajeti ya muungano wanavyotanua mtaani.

Hawajadanganyika na nusu ya wajumbe wa kamati. Chadema mlifunika kombe zenji wamelifunua akuna mwanaharamu

Nb. Wachangiaji wengi hawataki kukosolewa nategemea kutukanwa humu. Ila ukilazimisha tuwe na mtazamo moja hakuna haja ya kujadili. Na naamini mtu hujifunza zaidi kwa kukosolewa kuliko kusifiwa. Sifa zinalevya. Mf watz wakarimu madini yanaenda.

Zanzibar MAFUTA hakuna tusidanganyane, na mtakuja shangaa mkikuta mafuta yamepatikana bara, na hayo mafuta ya Zanzibar yanaposadikiwa ni mpakani na Tanga, na kuna uwezekano mkubwa ni upande wa BARA.
 
...Mi naona bora wasepe watanganyika tuko poa kabisa.
ila watakuja kulia na kusaga fizi!!. dhambi kubwa kabisa ya utengano mhiiiiiiiiiiii......
 
Back
Top Bottom