Blayi wa Mpwapwa,
Unatia kichefuchefu sasa kwa hoja zako. Hivi nani zumbukuku kati yangu na wewe? Hivi Chama kinachokufa kilitufanya nini Igunga?? Kimetufanya nini Uzini? Sisi tumepeleka wakubwa wote, mkiti,katibu na kadhalika wao wamewaachia vijana tu matokeo CCM 5680, sisi CDM 218!!!!!! Shame...