SILENT ACtOR
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 627
- 181
tupe update mkuu
Nimependa paragraph ya kwanza inavyokumbushia jinsi utawala wa Mchonga ulivyoingiza tabia za kihuni, kishenzi, na kimabavu za kutunga taratibu zilizo nje ya sheria na katiba. Sungusungu walinyanyasa sana watu.
Anamfagilia JK
Nahisi hawa wapinzani hawakuwa wanamjua jk vizuri , baada ya upinzani kuwa karibu nao sasa ndio wameelewa kuwa jk ni jembe, ila wabunge wake ndio janga.Du! kwa mara ya kwanza kuona upinzani wakisifia raisi wa ccm kiasi hiki.ni ktk hotuba yake ya mswaada wa sheria ya kuunda tume ya katiba mpya.hapa sifa hizi ni kwa sababu raisi amechukua mawazo yao? Au kuna makubaliano ya chini chini