mgogoro unazidi kupamba, naona vijana wanatishia kurudisha kadi za cdm
Wakuu kuna mabishano na kutupiana kwa lugha kali na za matusi kati ya Viongozi wa Chadema Wilaya hapa Mwanza,Vijana hao wanasema tangu jana mmetutelekeza hatujala hadi sasa,wanaonekana sio wenyeji wa Mwanza,lakini watu hapa wanasema walikuja kutoka mara kuvuluga mkutano wa CCM kwa kuzomea na kupiga watu mawe ila ulinzi ulikua mkali,wanasema kuna kiongozi wao kutoka Musoma anaitwa Samson Nyangi hajaonekana tangu jana jioni na hapatikani kwa simu,lakini viongozi hapa wanasema vijana hawa walipewa chao kabla ya kuja! Zogo linaendelea
Naamini Star TV wataitoa vizuri habari naona mpiga picha wao kafika hapa
My take:
Ina uma sana kuona vijana wanatumiwa na kudhalilishwa na wanasiasa kiasi hiki!
vijana wameshika vidumu vya petrol wanatishia kuchoma ofisi
Igunga vijana wenu walijimwagia tindikali wenyewe, mkasema amemwagiwa na vijana wa CDM. Walipeni vijana mleowasomba kwa malori. Halafu wewe unajulikana CCM damu. Tunakushangaa sana!
unasikia rahaaaa mwenyewe......
Tumbo limekujaa ubwabwa wa birthday ya chama, unacheua huku unaandika kama kenge mweye n.y.e.g.......!
huyo kavimbiwa mkuu hadi akili ikahamia kwenye masaburiunasikia rahaaaa mwenyewe......
Tumbo limekujaa ubwabwa wa birthday ya chama, unacheua huku unaandika kama kenge mweye n.y.e.g.......!
Wakuu kuna mabishano na kutupiana kwa lugha kali na za matusi kati ya Viongozi wa Chadema Wilaya hapa Mwanza,Vijana hao wanasema tangu jana mmetutelekeza hatujala hadi sasa,wanaonekana sio wenyeji wa Mwanza,lakini watu hapa wanasema walikuja kutoka mara kuvuluga mkutano wa CCM kwa kuzomea na kupiga watu mawe ila ulinzi ulikua mkali,wanasema kuna kiongozi wao kutoka Musoma anaitwa Samson Nyangi hajaonekana tangu jana jioni na hapatikani kwa simu,lakini viongozi hapa wanasema vijana hawa walipewa chao kabla ya kuja! Zogo linaendelea
Naamini Star TV wataitoa vizuri habari naona mpiga picha wao kafika hapa
My take:
Ina uma sana kuona vijana wanatumiwa na kudhalilishwa na wanasiasa kiasi hiki!
mkuu hizi habari ni nzito, unajua mimi nilishasema kwenye post zangu zilizopita kuhusu hawa wenzetu vitendo walivyovifanya kwa kuwasomba watu kuja kuivuruga sherehe yetu
Wakuu kuna mabishano na kutupiana kwa lugha kali na za matusi kati ya Viongozi wa Chadema Wilaya hapa Mwanza,Vijana hao wanasema tangu jana mmetutelekeza hatujala hadi sasa,wanaonekana sio wenyeji wa Mwanza,lakini watu hapa wanasema walikuja kutoka mara kuvuluga mkutano wa CCM kwa kuzomea na kupiga watu mawe ila ulinzi ulikua mkali,wanasema kuna kiongozi wao kutoka Musoma anaitwa Samson Nyangi hajaonekana tangu jana jioni na hapatikani kwa simu,lakini viongozi hapa wanasema vijana hawa walipewa chao kabla ya kuja! Zogo linaendelea
Naamini Star TV wataitoa vizuri habari naona mpiga picha wao kafika hapa
My take:
Ina uma sana kuona vijana wanatumiwa na kudhalilishwa na wanasiasa kiasi hiki!
vijana wameshika vidumu vya petrol wanatishia kuchoma ofisi