- Nothing but 100%, Great Thinking ndio maana tunasema CCM haina njia ila kuwekeza kwa Viongozi wenye umri mdogo kama huyu maana ndio the future ya Chama!, Bravo Mheshimiwa Nape, umesikika mpaka JF kumkoma Nyani uwanja wa Damu, I mean Mpaka Waziri Mwandosya amekubali kuwa JF mpango mzima, saafi sana washitueni na wengine huko kwenye power kwamba elimu ya bure ya taifa ipo hapa! JF Kumkoma Nyanis!
William @..NYC,USA: Le BAHARIA!
[/QUO
Vuvuzela Nape ndio mtu makini? Sio kuwa na vijana wala, vibabu au vikongwe itakyoisaida CCM ila kuwa na utaifa na kulinda maslahi ya taifa. CCM haiwezi hiyo hata wangeletewa malaika watamwita shetani kisha kuendelea na matendo yao maovu kama kawa.
Wasomi si tatizo hata kidogo. Tatizo ni wanasiasa. Wanasiasa ndio wamepewa dhaman ya uongzozi wa nchi. Wao ndio watakao chagua wasomi wepi wawatumie. Wanajua aina ya wasomi wanaowatumia wakitaka kuibia nchi. Wanajua wasomi wanaotema udenda ukiwanang'iniza noti usoni. Wanawakwepa wasomi wazalendo wanaoweza kukataa upuuzi wao. Tatizo ni wanasiasa. Tatizo ni ccm na kuwa na vuvuzela kama Nape hakuwezi kulisaidia. Nape kashindwa kujivua ghamba anataka kuwalaumu wasomi. Hakuna aliye mbora ccm, awe kijana, awe mzee, awe yuko nje ya nchi au ndani ya tz, awe mtoto wa mkulima au mtoto wa tingatinga, awe bajaji au baiskeli wote wabovu. Tatizo ni wao wanasiasa tena wanasiasa wa CCM.