Nape awapasha wana taaluma Mlimani City

zamwamwa

Member
Jun 16, 2011
46
10
Dogo vuvuzela wa CCM Nape Nnauye leo mchana kawatolea uvivu wanataaluma wa (Tanzania Profesionals Network) kwenye summit yao iliyofanyika Mlimani City wakati yeye na Mnyika wakitoa mada ya Uzalendo na Utaifa.

Nape amedai wataalamu ndio hu-draft mikataba mbalimbali inayoingiwa na serikali, akatoa mifano ya Dowans jinsi wanasheria walivyishauri serikali.....

Akatoa mifano ya wataalamu walivyoshiriki utoroshaji wa wa wanyama hai kwa ndege!
 
Dah hii Kali atutajie wakina nani hao tule nao sahani moja haiwezekani tukawa tunapiga kelele kumbe kuna watu wanoishauri serikali upumbavu. Najua watajitetea kuwa tuliwashauri hivi serikali wakabisha. Lakin twende nyuma twende mbele wanasheria ndo wanaoifanya nchi yetu iwe masikini.
 
Dogo vuvuzela wa CCM Nape Nnauye leo mchana kawatolea uvivu wanataaluma wa (Tanzania Profesionals Network) kwenye summit yao iliyofanyika Mlimani City wakati yeye na Mnyika wakitoa mada ya Uzalendo na Utaifa. Nape amedai wataalamu ndio hu draft mikataba mbalimbali inayoingiwa na serikali, akatoa mifano ya Dowans jinsi wanasheria walivyishauri serikali..... Akatoa mifano ya wataalamu walivyoshiriki utoroshaji wa wa wanyama hai kwa ndege!

Na Wana siasa hao hao wanaendelea kuwalea na Kuwalinda Wanataaluma hao
 
Pamoja na kwamba huyu dogo ni vuvuzela wakati mwingine anasema ukweli.

Mimi nilishasema siku nyingi kwamba kama kuna kundi la wabongo ambalo linapaswa kulaaniwa na kuhukumiwa 'kupigwa mawe' hadi life ni the so called wasomi. Wasomi ndio wameshika nafasi za utawala na za kufanya maamuzi yanayohusu jamii - wasomi ndio marais, mawaziri, makatibu wakuu, majaji, wanasheria, wakurugenzi, wakuu wa vitengo, wahasibu, wengine wengi wana ma-title (ya ukweli na feki) ya uDkt, uProf, uEng. uAcct, nk.

Hawa hawa ndio ndio wameshiriki - kwa makusudi au kwa kutojua (ambalo nalo ni kosa kwa msomi) - kuimarisha utamaduni/mfumo wa kifisadi.

Ninakuunga mkono dogo vuvuzela wa magamba - only that you are making such a great point from the wrong side of the political landscape.:lol:
 
Tasnia ya sheria inatia aibu sana...nadhani hawa ndio wanaongoza kwa kuharibu hii nchi...wengi wao ni walafi na wapenda pesa zaidi hawana Uzalendo hata chembe...wachache sana wanafirkiria hii nchi...kwa kweli most of these people are Mercenaries...ni aibu sana..
 
Bado yupo huyu kijana!
Anasahau kuwa wanasiasa ndio wameharibu nchi hii, kwa kutoa mamuzi ambayo wataalamu wameyakataa
 
Dogo wa CCM Nape Nnauye leo mchana kawatolea uvivu wanataaluma wa (Tanzania Profesionals Network) kwenye summit yao iliyofanyika Mlimani City wakati yeye na Mnyika wakitoa mada ya Uzalendo na Utaifa.

Nape amedai wataalamu ndio hu draft mikataba mbalimbali inayoingiwa na serikali, akatoa mifano ya Dowans jinsi wanasheria walivyishauri serikali..... Akatoa mifano ya wataalamu walivyoshiriki utoroshaji wa wa wanyama hai kwa ndege!
 
Hana mpya huyo, ye kashaona kugezea kushonesha suti kama ya Mnyika ndio ujanja basi aishie hapo hapo. Yeye alivyo draft mchakato wa kujivua gamba alionaje? amefanikiwa?
 
Dogo vuvuzela wa CCM Nape Nnauye leo mchana kawatolea uvivu wanataaluma wa (Tanzania Profesionals Network) kwenye summit yao iliyofanyika Mlimani City wakati yeye na Mnyika wakitoa mada ya Uzalendo na Utaifa. Nape amedai wataalamu ndio hu draft mikataba mbalimbali inayoingiwa na serikali, akatoa mifano ya Dowans jinsi wanasheria walivyishauri serikali..... Akatoa mifano ya wataalamu walivyoshiriki utoroshaji wa wa wanyama hai kwa ndege!

Huyo dogo kwenye red ni kichwa kwelikweli. Si jioni hii alikuwa pia kwenye mjadala mwingine wa "Muungano na Tanzania Tunayoitaka" uliorushwa live na Star TV? Amejibu hoja kwa ustadi wa kutisha. Sijui CHADEMA inatoa wapi hawa watu?
 
Dogo vuvuzela wa CCM Nape Nnauye leo mchana kawatolea uvivu wanataaluma wa (Tanzania Profesionals Network) kwenye summit yao iliyofanyika Mlimani City wakati yeye na Mnyika wakitoa mada ya Uzalendo na Utaifa. Nape amedai wataalamu ndio hu draft mikataba mbalimbali inayoingiwa na serikali, akatoa mifano ya Dowans jinsi wanasheria walivyishauri serikali..... Akatoa mifano ya wataalamu walivyoshiriki utoroshaji wa wa wanyama hai kwa ndege!

Mnyika na wewe uliwezaje kukaa meza moja na huyu BOGUS Nape Meza moja. Uwe unaangalia watu wa kwenda nao kufanya summitt. Nape siyo Kiwango chako kabisa Mnyika. Juzi juzi tu umetoka kuaibika kutia saini na Emmanuel Nchimbi na leo tena upo Nape!
 
Dogo vuvuzela wa CCM Nape Nnauye leo mchana kawatolea uvivu wanataaluma wa (Tanzania Profesionals Network) kwenye summit yao iliyofanyika Mlimani City wakati yeye na Mnyika wakitoa mada ya Uzalendo na Utaifa. Nape amedai wataalamu ndio hu draft mikataba mbalimbali inayoingiwa na serikali, akatoa mifano ya Dowans jinsi wanasheria walivyishauri serikali..... Akatoa mifano ya wataalamu walivyoshiriki utoroshaji wa wa wanyama hai kwa ndege!

Hivi hata Richmond napo wanahusika? Hivi Wanasiasa sio ndio walijipa majukumu ya kujifanya ni Accounting officer, Tender board na PMU badala ya TANESCO kama PE, Mkurugenzi wa TANESCO kama AO na tender board,PMU za TANESCO. Kwenye Richmond TANESCO waliporwa majukumu yao kwa mujibu wa PPRA act,wanasiasa wakajipa majukumu.
Wanasiasa ndio wanoharibu nchi hii, wenyewe wanajifaanya wanajua kila kitu. Sio ndio hawa Wanasiasa wanaopitisha sheria za ajabu kule mjengoni, sheria kama ununuzi wa vifaa vilivyotumika, wanasiasa kuwa sehemu ya mahakama nk.
 
WAKUU!

Nape asituletee giza hapa. Kwani hao anaosema wataalam si wameteuliwa na serikali ya akina NAPE? Sasa atakuwa amewapasha wataalam au ameipasha serikali ya chama chao cha ma-used? Si ni juzi tu kule mjengoni Dodoma kwa uwingi wao waliamua kusimamia sheria ya kununua MITUMBA? Nao walikuwa wataalam au wanachama wa CHAMA CHA MA-USED (CCM)? Apeleke kujichubua kwake na mikorogo yake huko Lumumba.
 
Hana mpya huyo, ye kashaona kugezea kushonesha suti kama ya Mnyika ndio ujanja basi aishie hapo hapo. Yeye alivyo draft mchakato wa kujivua gamba alionaje? amefanikiwa?

Kwani nani kaiga za mwenzake Sokwe? Nikumbukavyo mie Nape kaanza mda mrefu na suti hizi hata kabla hajawa Dc, nadhani ungesema Mnyika kaiga... We angalia hata viatu vyaooo
 
Wasiwasi wangu wengine mkijibiwa tutakula ban... Hivi ulishaacha ule mkorogo wa mikononi? na ile cheni ya kiunoni je?

WAKUU!

Nape asituletee giza hapa. Kwani hao anaosema wataalam si wameteuliwa na serikali ya akina NAPE? Sasa atakuwa amewapasha wataalam au ameipasha serikali ya chama chao cha ma-used? Si ni juzi tu kule mjengoni Dodoma kwa uwingi wao waliamua kusimamia sheria ya kununua MITUMBA? Nao walikuwa wataalam au wanachama wa CHAMA CHA MA-USED (CCM)? Apeleke kujichubua kwake na mikorogo yake huko Lumumba.
 
Kwani nani kaiga za mwenzake Sokwe? Nikumbukavyo mie Nape kaanza mda mrefu na suti hizi hata kabla hajawa Dc, nadhani ungesema Mnyika kaiga... We angalia hata viatu vyaooo

WAKUU!

Hivi kumbe NAPE ni DC? Duh! Hiyo wilaya i,eula wa chuya wakuu!!! Yaani DC, halafu siku zote yupo kiguu na njia kuzurura TZ kusikuwa na bado aitwe mkuu wa wilaya? Ama kweli Chama Cha Ma-used ni zaidi ya ukijuavyo.
 
Mnyika kiwango chako si cha watu kama nape;nchimbi na huyu uliyekuwa naye jioni hii sijui nani huyu katibu sorry khatibu. Uwe unawakwepa hawana iq ya kuargue na wewe. Real katika lile bunge unachukua nafasi ya wabunge 200 wa magamba kwenye hoja zenye logic .
 
Dogo vuvuzela wa CCM Nape Nnauye leo mchana kawatolea uvivu wanataaluma wa (Tanzania Profesionals Network) kwenye summit yao iliyofanyika Mlimani City wakati yeye na Mnyika wakitoa mada ya Uzalendo na Utaifa.

Nape amedai wataalamu ndio hu-draft mikataba mbalimbali inayoingiwa na serikali, akatoa mifano ya Dowans jinsi wanasheria walivyishauri serikali.....

Akatoa mifano ya wataalamu walivyoshiriki utoroshaji wa wa wanyama hai kwa ndege!

- Nothing but 100%, Great Thinking ndio maana tunasema CCM haina njia ila kuwekeza kwa Viongozi wenye umri mdogo kama huyu maana ndio the future ya Chama!, Bravo Mheshimiwa Nape, umesikika mpaka JF kumkoma Nyani uwanja wa Damu, I mean Mpaka Waziri Mwandosya amekubali kuwa JF mpango mzima, saafi sana washitueni na wengine huko kwenye power kwamba elimu ya bure ya taifa ipo hapa! JF Kumkoma Nyanis!


William @..NYC,USA: Le BAHARIA!

 
WAKUU!

Hivi kumbe NAPE ni DC? Duh! Hiyo wilaya i,eula wa chuya wakuu!!! Yaani DC, halafu siku zote yupo kiguu na njia kuzurura TZ kusikuwa na bado aitwe mkuu wa wilaya? Ama kweli Chama Cha Ma-used ni zaidi ya ukijuavyo.

Nape sio DC, alikuwa DC huko nyuma kabla ya kuwa katibu Mwenezi wa CCM.
 
Kwa taarifa tu ukitaka usomi wako ukubalike na ccm andika wanavyotaka. Angalia maprofesa wa ccm kama magembe utafikiri mataahira
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom