Dogo vuvuzela wa CCM Nape Nnauye leo mchana kawatolea uvivu wanataaluma wa (Tanzania Profesionals Network) kwenye summit yao iliyofanyika Mlimani City wakati yeye na Mnyika wakitoa mada ya Uzalendo na Utaifa.
Nape amedai wataalamu ndio hu-draft mikataba mbalimbali inayoingiwa na serikali, akatoa mifano ya Dowans jinsi wanasheria walivyishauri serikali.....
Akatoa mifano ya wataalamu walivyoshiriki utoroshaji wa wa wanyama hai kwa ndege!
Nape amedai wataalamu ndio hu-draft mikataba mbalimbali inayoingiwa na serikali, akatoa mifano ya Dowans jinsi wanasheria walivyishauri serikali.....
Akatoa mifano ya wataalamu walivyoshiriki utoroshaji wa wa wanyama hai kwa ndege!