Hivi huyu vuvuzela wa CCM hii kasi yake inakwenda wapi? Kaacha kutukanwa sasa kwa sehemu kubwa, anaandikwa na kuripotiwa vizuri na media kwasasa ukilinganisha na mwanzo! Haya yanatokea yenyewe au yanatengenezwa?
Na kama yanatengenezwa na nani? Maana naamini Nape hana akili hiyooo! Nadhani iko haja ya kuangalia speed ya huyu dogo hasa anapokuwa kimya sana!
Wameshirikiana na J.........Kitaifa kuwadhibiti kina Eddo na kwa dalili wanafanikiwa na hii nilidhani kama wangeshindwa ingekuwa kete muhimu sana kwa CDM..... Ushindi huu japo ni nusu hivi si salaam njema kwa chama dume cdm... Tafakari
Na kama yanatengenezwa na nani? Maana naamini Nape hana akili hiyooo! Nadhani iko haja ya kuangalia speed ya huyu dogo hasa anapokuwa kimya sana!
Wameshirikiana na J.........Kitaifa kuwadhibiti kina Eddo na kwa dalili wanafanikiwa na hii nilidhani kama wangeshindwa ingekuwa kete muhimu sana kwa CDM..... Ushindi huu japo ni nusu hivi si salaam njema kwa chama dume cdm... Tafakari