Nimemsikia Nape akisema kupitia TBC1 kuwa ETI si lazima aliyeshinda kura za maoni Arumeru Mashariki kupitia Chama Cha Magamba(CCM) akateuliwa na vikao vya CCM kuwa mgombea wa Chama hicho katika uchaguzi mdogo ujao!! Hii imenistua kwanini Nape aseme hili kwa Arumeru na hakusema kwa Igunga mbona???.... Nahisi panamchezo wa kumuondoa SIOI mkwe wa Waziri Mkuu aliyefukuzwa na bunge kwa kashifa ya Richmond na Dowans asigombee ubunge pale na sasa vuvuzela wao anauandaa umma kupokea maamuzi hayo...
PEOPLES.........................
PEOPLES.........................