Kuna sehemu busara zinahitajika sana kwenye haya mambo,nimeshaona mtoto wa nje ya ndoa ndio msaada mkubwa kwa mzee wake lakini akifa huyu mzee bado hastahili kupata haki sawa na wenzake??
Habari wana jamii,kuna jambo naomba muongozo kidogo wa kisheria kwa mwenye ufahamu nalo.Tuna mali tumerithi toka kwa baba yetu na tuko watatu lakini kwa bahati mbaya mwenzetu mmoja amefariki na kuacha watoto wawili ambao ni wakubwa (above 18).
Baada ya msiba tulikaa kama familia na sehemu ya...
Nina binti wa mwezi mmoja ratiba yake ya kulala ilikuwa nzuri tu na ya kawaida kama watoto wengine lakini cha kushangaza jana usiku hakulala kwa masaa kama sita yaani aliamka kama SAA tatu ya usiku mpaka saa tisa ya usiku ndio akaanza kusinzia ,mchana alilala vizuri tu na kingine...
Hii weka mbali na watt,inaanza kizembe sana mpaka yule binti anapotoroka na kuomba msaada wa hifadhi halfu muhuni anakauja kukataa mapesa kibaao ili awaachie ...aah ni ushanta mtupu
Nakushauri ndugu yangu tafuta gari used aidha vits,starlet,ist,Carina ambazo hazitumii mafuta sana na utapata kwa bei nzuri kama m5 mpaka m8,itakayobaki anza ujenzi hata wa vyumba viwili kwanza ili usave mambo ya kodi na pia una kwako hata kama chumba kimoja lakini ni kwako!!ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.