Recent content by Zahoro Uchwa

  1. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Mwenye kigugumiz ni unfit hivyo amepoteza sifa ya kuwa askari.
  2. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Labda labda nyingi, ina maana hauna uhakika na unenalo, ni kweli hauna uhakika kwa kusema kwamba ni lazima op ziajiriwe wakat jkt haiajir ila inatoa mafunzo tu kisha watu wanasikilizia ajira ndani ya miaka miwili ya mkataba na kama hukupata ajira basi warud kwenu kwan si lazima muajiriwe wote.
  3. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Nikiongea unvyotaka ww ndio hauta elewa kabisaaa yan.
  4. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Msifarakane wana Jamii forum, mambo yatakuwa sawa hata yakichelewa,hivyo kuweni na subira.
  5. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    You are in right position but dont insult my friend coz does not help in one way or another.
  6. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    You are in wrong position
  7. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Haiwez tokea hii,yani kuwe na ngazi tatu,mgambo,jkt na jwtz,kwanza hearsay is not admissible rafiki.
  8. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Kuwa na subira ndugu watatangaza tu,possibility kubwa ni mwez wa tisa,mara baada ya wa mujibu awamu ya kwanza kwenda vyuo,hivyo wakujitolea watachanganywa na mujibu awamu ya pili,pia mujibu awamu ya pili huwa wanajitokeza wachache sana sababu weng wao huenda chuo kusoma kwanza,hivyo wakujitolea...
  9. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Oh! Naomba ufute my namba.
  10. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    N Fanya utaratibu huo kabla nafasi hazijatangazwa mheshimiwa.
  11. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    No,huwez cha msingi ni kwenda police kufuata lose report then nenda shule uliyomalizia masomo yako utapewa leaving certificate kwa mara nyingine,hivyo usijali mkuu n suala la kufuata taratibu tu.
  12. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Wanalinganisha majina ya vyeti vyako vyote kama yanafanana so,kwa form four ni kuanzia darasa la saba na na chet cha form four pamoja na chet chochote cha ufund ambacho utaambatanisha.form six na kuendelea ni kuanzia chet cha form four had Hadi ulipokomea.
  13. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Ok,usijali mkuu tupo pamoja.
  14. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Kaka sasa kwa situation kama hii,ngoma ni had mwez wa saba.coz kama kutangazwa kwa mwez sita ilibid zishatangazwa.
  15. Zahoro Uchwa

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Dah!! Kaka kutokana na kusitishwa kwa ajira hiv karibuni ili kupisha uhakiki wa vyet japo haukupita jeshini,pia jeshi lilisimamisha ajira pia,hivyo tutarajie mwez wa saba hivi mara baada ya ajira mpya kutangazwa kitaifa sababu kuna operations kama m bili hiv kama sio tatu bado hazijaajiriwa so...
Back
Top Bottom