Wise.....
They say, Shame on me if you fool me Once, Shame On You If You fool me twicd...
Fact boss..its time matter here!
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Salaam wadau...
Nilinunua tablets online from somewhere ulimwenguni...
Ina display safi, internal memory 16GB, main memory 1GB
Problems
1) Ina load slows na ku crash often times pale unapo launch any application i.e apps doesn't hatch succeffully
2) Ina sim card slot kwa ajili ya GSM lakini...
Yeah sina uhakika zaidi ni namna gani.... lakini wanalipa..
Sababu waeza kuona zile video uki play unafika pahala unakuta tangazo na unapewa option ku skip aka kuendelea like so...
Wale wenye matangazo lazima watakuwa wanalipa boss....
Jaribu kufuatilia
$3,500 Siyo ya kuendesha magari ya kifahari boss...
Kirikuu tu...
Ila nampongeza na nina amini hiyo inaingia kwa account yake na inaweza kumuwezesha kupata mengi zaidi but awe katika game kwa zaidi ya miezi sita bila kupungua bank wamuelewe...
Any way watakuwa wanamuelewa simply awe regit...
Waigizaji movie za nje wanaenda darasani kusoma..
Kuanzia muongozaji..
Mu igizaji....
Na wanatumia kila technology at their dispol
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Sawa boss una point naiona hapo na upo sahihi....
Lakini naomba nikuelezee kwamba mimi nimeishi mikoa kadhaa Tanzania na ninafahamu lugha za kitanzania kadhaa...
Lakini nilijiuliza niki post kwa kigogo nina uhakika ni kipost kwa kiingereza watanzania na dunia maana mtandao au www ki dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.