Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,026
Safi sana..... Umekwisha tengeneza mazingira ya Pasaka au unatengeneza kesho.?Eeeh mimi ni iron lady!
Safi sana..... Umekwisha tengeneza mazingira ya Pasaka au unatengeneza kesho.?Eeeh mimi ni iron lady!
Kuna misemo miwili mmoja wa Kihindi na mwingine wa Kiswahili inadumu karne na karne.Kitila ni kama Humphrey Polepole
Mkulu katufunza kubana matumizi,hakuna cha kutengeneza mazingira siku hizi. Nimejipanga kuwatembelea majirani ili kuokoa bajeti.Safi sana..... Umekwisha tengeneza mazingira ya Pasaka au unatengeneza kesho.?
cc: Zitto KabweUkiona mtu anakukosoa sana na anakushika pabaya we mpatie ulaji tu.. Kwisha habari yake!
Utapita kwangu na mimi nibane matumizi kuliko kwenda uwanja wa fisiMkulu katufunza kubana matumizi,hakuna cha kutengeneza mazingira siku hizi. Nimejipanga kuwatembelea majirani ili kuokoa bajeti.
Umeandaa nini vile...Utapita kwangu na mimi nibane matumizi kuliko kwenda uwanja wa filamu

Naanda katiba uje tusome vifungu na kuvichambuaUmeandaa nini vile...![]()
![]()
![]()
Ha! Ha! Ha! Udhia au dinari ni balaaa Yuda anaeweza kuelezea hii vizuri zaidiKuna misemo miwili mmoja wa Kihindi na mwingine wa Kiswahili inadumu karne na karne.
1. Mbwa ukimjua jina hakusumbui
2. Penye udhia, tia rupia
Endelea kuandaa hiyo katiba,nitakuja kuisoma tar.26/4 siku ya muungano!Naanda katiba uje tusome vifungu na kuvichambua
Njoo huku maana tunapiga kelele hapaEndelea kuandaa hiyo katiba,nitakuja kuisoma tar.26/4 siku ya muungano!
Kajiunga kwenye mchezo wao....Mkuu picha yako sijaelewa.![]()
Kumbe na wewe mitusi unayoporomosha humu, hilo ndilo lengo lako ?Ukiona mtu anakukosoa sana na anakushika pabaya we mpatie ulaji tu.. Kwisha habari yake!