Recent content by yushinbidam

  1. yushinbidam

    Oscar Oscar atua rasmi Wasafi FM

    mbona kipindi Cha mgahawa kipo vzuriii tu Sasa wanakiondoa kwann
  2. yushinbidam

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  3. yushinbidam

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    ukweli mkuu klopp mbele ya real Madrid miaka ya hivi karibun amekua hapat matokeo mazurii kabisa wanapokutana
  4. yushinbidam

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    inawezekana uko sahihi kabisa mkuu man city n Bora
  5. yushinbidam

    Wasanii walioshinda Tuzo za Tanzania Music Awards 2023

    mkuu hata kizz Daniel alikua ana mwaka Bora Sana 2022 alitoa naye hits song bado ukichukuaa hits za kizz Daniel huwez fanansha na za huyo ayra Starr unayesema alihit
  6. yushinbidam

    Natafuta karanga mbichi kwa ajili ya biashara

    mkuu unahitaji kiasi gani mkuu
  7. yushinbidam

    Mipango miji.. Chuo cha mipango Dodoma

    hata Mimi n mwenyew nmesoma mipango mkuu nasema nachokifahamu lakin piaa hapo unaposema kuwa huwez kusoma urban Kama hauna pc nafkr kwenye uhalsia haipo hvyo watu wanahitmu pale hata kushika mouse atengenze mchoro hawezi na hzo hawana
  8. yushinbidam

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kaka kweli uchawi upo sema tren lako lilikuwa hatar mwenyew nli cash out 17000 baada yakuona hao jamaa wako 0.0
  9. yushinbidam

    Mipango miji.. Chuo cha mipango Dodoma

    mkuu hyo course aliyoitaja mtoa mada kwa mipango bado inabdi waifanyie maboresho maana wanafunzi wanasoma Mambo meengi yasiyohusiana na maendleo ya miji lakin pia kwenye kutumia software Kama AutoCAD,arch GIS n.k bado n changamoto kwa wahitimu wa pale kwenye hyo course japo kwenye kufahamu Mambo...
  10. yushinbidam

    Wazo la biashara kwa laki tano(6)

    nimewah kufuga kuku dodoma kuku wanatoka mm nlkuwa nauzia pale majengo sokoni
  11. yushinbidam

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji2][emoji2][emoji2] dah
Back
Top Bottom