Mimi binafsi napata shida kumuona
mtu anamshambulia mtu badala ya
kujadili hoja aliyoitoa huu ni udhaifu
mkubwa. mkinga kasema kwa facts
za sms kapigwa stop ITV NA EATV
sasa badala ya watu kujadili kwa nini
apigwe stop? Kwanzaa watu mnatoa
matusi then unasema mkinga
unamihemuko ala kati...
Huyu Faiza kwa mavazi yale ni bora Sugu chukua mtoto, ni nini mtoto anajifunza kutoka kwa mama yake kama sio tabia mbaya tu? tunatengeneza taifa la watu wasiokosa maadili kwa style hii ya faiza
CCM WAGEUKA MBOGO WALAWITI DEMOKRASIA.
Dhana na misingi ya kidemokrasia iko wazi ktk jamii ikiwemo uhuru wa wananchi kushiriki ktk mijadala mbalimbali na kutoa maoni yao kwa mambo yanayohusu Taifa letu.
Kitendo cha paul makonda kuwaonga na kuwa kodi vijana wasiojielewa wa vyuo vikukuu ili...
Kuna comments nyingi zinatulaumu walimu kama ndio ngazi ya mafanikio ya ccm.
Ifahamike kwamba huu ni mtazamo tu wa mtu si kweli walimu wote ni vibaraka wa ccm wapo sipingi asili mia.
Kuna wasomi wengi kama akina Dr. Bana, profesa shivji wanashabikia ccm kwa hiyo huu ni udhaifu wa mtu...
Serikali imekata mishahara ya walimu ktk viwango tofauti tofauti bila kutoa sababu za msingi za makato hayo.
Ikumbukwe kuwa mshahara ni haki ya mtumishi.
Kwa kitendo hicho serikali ya inajidhirisha ni kinara wa wizi. Kuna watu wamekatwa elfi 60,wengine 25 na wengine 14 huu ni wizi wa waziwazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.