Serikali ya CCM yakata tena mishahara ya walimu

Serikali ya CCM yakata tena mishahara ya walimu

Serikali imekata mishahara ya walimu ktk viwango tofauti tofauti bila kutoa sababu za msingi za makato hayo.
Ikumbukwe kuwa mshahara ni haki ya mtumishi.

Kwa kitendo hicho serikali ya inajidhirisha ni kinara wa wizi. Kuna watu wamekatwa elfi 60,wengine 25 na wengine 14 huu ni wizi wa waziwazi. Wasiporejesha mshahara wangu natangaza wazi naiburuza serikali mahakani.

Ikiwa wamekata ktk ujenzi wa maabara, waniambie kodi ninayolipa kila mwezi zaidi ya 68 elfu inaenda wapi?

Je, wabunge waliocheza kitolondo bungeni wamekatwa shilingi ngapi?

Acha wakate tu, na ukigoma utapigwa tu, nami nasema wapigwe tu. uchaguzi mwakani utayasahau na utachagua chama cha mapinduzi ccm kama kawa,
 
Naiomba serikali iwakate walimu kima cha chini laki moja ili tujenge maabara. Kata walimu wote kuanzia chekechea hadi chuo kikuu.. Hongera serikali kwa hili la kuwakata walim.
 
Serikali imekata mishahara ya walimu ktk viwango tofauti tofauti bila kutoa sababu za msingi za makato hayo.
Ikumbukwe kuwa mshahara ni haki ya mtumishi.

Kwa kitendo hicho serikali ya inajidhirisha ni kinara wa wizi. Kuna watu wamekatwa elfi 60,wengine 25 na wengine 14 huu ni wizi wa waziwazi. Wasiporejesha mshahara wangu natangaza wazi naiburuza serikali mahakani.

Ikiwa wamekata ktk ujenzi wa maabara, waniambie kodi ninayolipa kila mwezi zaidi ya 68 elfu inaenda wapi?

Je, wabunge waliocheza kitolondo bungeni wamekatwa shilingi ngapi?

Mishahara na Posho ni Mali ya serikali. Serikali imetoa na serikali imetwaa...!
 
Serikali imekata mishahara ya walimu ktk viwango tofauti tofauti bila kutoa sababu za msingi za makato hayo.
Ikumbukwe kuwa mshahara ni haki ya mtumishi.

Kwa kitendo hicho serikali ya inajidhirisha ni kinara wa wizi. Kuna watu wamekatwa elfi 60,wengine 25 na wengine 14 huu ni wizi wa waziwazi. Wasiporejesha mshahara wangu natangaza wazi naiburuza serikali mahakani.

Ikiwa wamekata ktk ujenzi wa maabara, waniambie kodi ninayolipa kila mwezi zaidi ya 68 elfu inaenda wapi?

Je, wabunge waliocheza kitolondo bungeni wamekatwa shilingi ngapi?

Hivi tukipiga stop safari moja ya kikwete tunasave shngap?
 
Sidhani kama ni kweli,,,ila kama itahitajika kufanya hivyo nadhani itakuwa jambo la heri,,walimu ndio wadau namba moja wa elimu,,Maendeleo ya nchi hii yataletwa na sisi wenyewe...!
 
Acheni wawakate na ikiwezekana wasiwalipe kabisa maana Waalimu ndio mnaidekesha CCM

kweli kabisa walimu hawakomi kupigwa kote mateso yote wanayopewa na ccm bado wanaiendekeza ccm....lazima wabadilike waamke wasitumiwe tena na ccm na serikali yao......kila mara wanafanywa big g tuuu wao
 
Upinzani wakweli unaoutaka niule utakaoludisha hela uliyokatwa na Ccm au?waliwaambia muanze migomo mlifanyanini zaidi yakuingia shimoni? Wakiitisha maandamano huwa mnatokea?.Mimi nasema tena acha wawakate tena ikiwezekana wachue zote labda mtaamka!


Ndo maana nimesema wapinzani nchi hii ni vilaza.

Nani aandamane kwa ajili ya serikali tatu wewe? Labda Pemba.

Na usikariri kwamba kila anaye comment juu ya hii issue ni mwalimu kwamba ni victim wa hii kitu au wewe ni diaspora?

Kwa taarifa yako mchango umeamriwa uwe nyumba kwa nyumba baadhi ya mikoa hivyo utatoa hata kwa bakora unless usiwe mbongo.

Nasema hivi kwa ujuha wa opposition kutumia katiba hasa serikali tatu kama ndo ajenda kwenye chaguzi zijazo then CCM Ina miongo zaidi ya mitatu madarakani.
 
Waalimu hamjawahi kujitambua na kutumia wingi wenu kuleta mabadiliko katika nchi hii. Mmekuwa mkitumika kuiba kura makabaki mnachekacheka tu. Mlidhani wakishaiba kura si lazima waibe na hela yenu?
Shame on you teachers maana mpaka leo kuna mwalimu anashabikia magamba, sijui ualimu hamkuupata kwa kuusomea? ni kama hamkustahili!
.Taratibu mkuu jazba ya nini?hatuna jeshi,hatuna polisi,hatuna mahakama sasa unafikiri hatujipendi sisi?hili ni letu sote.wewe hapo ulipo unalipa umeme 368/unit,matibabu ovyo,maisha yako duni tu.kupata ki tecno 50,000/= una mtandao unajiona mjanja tuko 50,000 watanzania 45,000,000 how can we make such huge impact?unatuonea wewe.mbona hatujakuona barabarani au hata media ukilalamika na kuleta mabadiliko?
 
Mwigulu alisifiwa kwa maamuzi ya eti mishahara yote italipwa kupitia hazina ili kuokoa fedha za watumishi hewa kumbe lengo kubwa likiwa ni kukata mishahara ya watumishi kama watakavyo na huku Salary slip zikifichwa hakuna anayejua uhalisia wa nini kapata na nini kimekatwa na kwa ajili ya nini kwani salary slip ndio uonyesha hayo.
 
Serikali imekata mishahara ya walimu ktk viwango tofauti tofauti bila kutoa sababu za msingi za makato hayo.
Ikumbukwe kuwa mshahara ni haki ya mtumishi.

Kwa kitendo hicho serikali ya inajidhirisha ni kinara wa wizi. Kuna watu wamekatwa elfi 60,wengine 25 na wengine 14 huu ni wizi wa waziwazi. Wasiporejesha mshahara wangu natangaza wazi naiburuza serikali mahakani.

Ikiwa wamekata ktk ujenzi wa maabara, waniambie kodi ninayolipa kila mwezi zaidi ya 68 elfu inaenda wapi?

Je, wabunge waliocheza kitolondo bungeni wamekatwa shilingi ngapi?

Viongozi wa Serikali akiri zao ni fupi kama mikia ya MBUZI. Wanafanya hivyo halafu wanategemea BRN. Itatoka wapi?
 
..kikwete anakata anga na kodi zenu alafu nyie mnalipishwa kujenga maabara.....nchi imevamiwa na mafisi hii.....
 
Kuna comments nyingi zinatulaumu walimu kama ndio ngazi ya mafanikio ya ccm.
Ifahamike kwamba huu ni mtazamo tu wa mtu si kweli walimu wote ni vibaraka wa ccm wapo sipingi asili mia.
Kuna wasomi wengi kama akina Dr. Bana, profesa shivji wanashabikia ccm kwa hiyo huu ni udhaifu wa mtu mwenyewe wa kufikiri isichukuliwe kama taaluma ya ualimu kama daraja la ccm kushinda uchaguzi
 
Serikali dhalimu sasa imeamua kuwapora walimu haki yao. Walimu nchini watakuwa wajinga sana kama wataacha Serikali hii dhalimu iendelee na ujambazi wao. Walimu nchini kote simameni imara ili kupambana na hii Serikali dhalimu ili kuhakikisha kila senti yenu iliyokatwa inarudishwa na zile bilioni chungu nzima mnazoidai Serikali hii dhalimu nazo mnalipwa. Miezi hii kumi na mbili kuelekea kwenye uchaguzi wa 2015 ndio wakati muafaka wa nyinyi kufanya migomo nchi nzima ili kudai haki zenu zote.
 
Walim wa kugoma labda wa kenya na nchi nyingine ila kwa bongo wapo"location " tu kuigiza mgomo.
 
Back
Top Bottom