Membe: Msiponichagua mimi mchagueni Pinda

Membe: Msiponichagua mimi mchagueni Pinda

Haeleweki,akiwa Mbeya alisema akishindwa yeye wamchague Prof.M.M
 
Akienda arusha atasema ka si yeye wchague Lwasa, akienda singida kama si yeye wamchague mwigulu!! Huyu kweli hajitambui na alisema kama si yeye basi wamchague Mwandosya!

Membe ni mfa maji haachi kutapatapa. Mara kasema asipopita yeye chagueni Makongoro, Mbeya kasema chagueni Mwandosya, na Mpanda nako kasema asipopita yeye wamchague Pinda.
 
Kadhihirisha kuwa yeye ni msindikizaji tu na sio mshindani wa kweli ni bora 1m yake angenunua mahitaji ya nyumbani kwake au angeenda kutoa sadaka kuliko kuipoteza bure
 
Pinda naye alisema msiponichagua mimi mchagueni Mwandosya! Nyie CCM mkoje au mnakuwa mmelewa?
 
Membe ameyasema hayo akiwa Mpanda mkoani Katavi, kwamba mpaka sasa roho yake inadunda mapigo mawili Pinda/membe ana uhakika akishinda yeye ameshinda Pinda akishinda Pinda ameshinda yeye

Mbeya alimunga mkono Mwandosya katavi Pinda, mwingine akifika atamunga mkono mtu mwinge mi navyoona nia ya huyu jamaa nikuteneza mazingira ili atakayeshinda amkumbuke kwenye ufalme wake
 
Huyu anaweweseka sana juzi mwandosya, leo pinda, akiwa tanga January, mara makongoro hana msimamo hatufai
 
Dah, yani kama huyu ni mmoja kati ya wagombea wanaopewa nafas kubwa basi kazi ipo
 
Heheheeee!, kwa hiyo Yale matambiko aliyofanya butiama yameleta majibu gani. Kwa wenye kumbukumbu nzuri watakumbuka wakati chadema wanazindua M4C walimtembelea nyumbani kwake mtama, akakiri CHADEMA wanaweza kuchukua uongozi wa nchi mwaka huu. Huyo ndio Membe katika ubora wake.
 
hahaaaaaa! leo nimecheka sana. ivi ameghair tena kumuunga mkono mwandosya? ivi mwigulu na wapigwe tu mbona siwaskii kwn media au hawana mvuto?
 
Taarifa tbc membe atangaza akishindwa atamuunga pinda,kaishaona mziko mzito
 
Kama kweli basi ni kigeugeu si alisema atamuunga mkono mwandosya
 
mjanja. Kaishatonywa kuwa chaguo la ccm ni Pinda kwa hiyo anajisogeza karibu na Ikulu.
Huyu hafai kuambatana naye karibu, ni njoka, shweitani,jino kwa jino, mpenda madaraka na kigeugeu.
Ningekuwa Pinda ningemuepuka kama ukoma
 
mjanja. Kaishatonywa kuwa chaguo la ccm ni Pinda kwa hiyo anajisogeza karibu na Ikulu.
Huyu hafai kuambatana naye karibu, ni njoka, shweitani,jino kwa jino, mpenda madaraka na kigeugeu.
Ningekuwa Pinda ningemuepuka kama ukoma

... Hata mkimleta huyo mzee wa Piga tu Atakuja KUMJUA Dr Slaa
 
chagueni rais atakaesimamia rasilimali za taifa .chama baadae.
 
unajua hasiyekubali kushidwa sio mshindani hata kidogo ni mara 1000000000% MEMBE anayekubali kuwa akishidwa sawa akisinda sawa kuliko yule anayetishia kuwa akishindwa nchi itatikisika ,hii nchi ni ya babayako? au wakati inatolewa mikonono mwa wakoloni ulikuwepo,
huwa sikukubali na najua huyo mpinda hatapewa lakni umeonyesha kuwa kweli wewe ni mwanadoplomasia na mtu aliyekomaa kisiasa kuriko yule ambye yuko tayari nchi iyumbe kisa yeye aende ikulu,big up membe
 
Nani ampe uraisi huyu mpuuzi Membe

membe sio mpuuzi kwa kitendo hicho ameonyesha ukomavu wa hali ya juu kuriko yule anaesema nchi itayumba ,nchi itachafuka wataniona nikishindwa lazima niende ikulu, wewe ni nani? na waandishi wa habari walivyov wa hajabu sasa sasa wanaandika haya maneno kwa ushabiki wakizani ni ya maana kwetu,mimi nakuunga mkono kweli unataka kuongoza kwa maslai ya watanzania sio wanamtandao wanaowambia wengine watoe vitisho.
 
Kadhihirisha kuwa yeye ni msindikizaji tu na sio mshindani wa kweli ni bora 1m yake angenunua mahitaji ya nyumbani kwake au angeenda kutoa sadaka kuliko kuipoteza bure

kwahiyo mshindani wa kweli ni yupi, au ni yule anaesema mkikata jina nchi itatikisika na kuyumba?
alikufa nyerere nchi haikuyumba yeye ni nani nchi iyumbe?
mimi nimemkubali huo ndo sifa ya kuwa mwanademocrasia na mwanadiplomasia,
 
membe umefanya kitu ambacho ni cha maana sana ameonyeonyesha kuwa amekomaa kiuongozi
 
Back
Top Bottom