Yaan we ni x girlfriend kuna jamaa leo tumemzika kisa x wife tena alishaoa mwengine baada ya kuachana na huyo x wake lkn bado roho yke haikuridhika
Pendeni kidogo jaman msizame sana wanawake wanamengi mnoo
Naona we MGENI unatumia nguvu kuwaaminisha watu kua mnachokifanya kina uhusiano na Uislam,
hata unadiriki kupotosha hadharani eti Qurani 2:223....?? Imeruhusu....
Unaijua Quran wewe...??
Hamtakiwi muwe na chuki na kukurupukia msiyoyajua kuhusu Uislam bali Munatakiwa musome Uislam ili hata kama...
Duh nadhani tupo tofaut kidogo
Darasa huyu sio yule wa skatitamaa,hakisawa,nishikemkono na siombayaa...
Afu hawa wasanii sijui wapoje wanaanza vizur baadaye wanazingua wanabaki kubebwa na watu kama wewe mtoa uzi lkn kiukweli hamna jipya hapo
Naomba maelezo ya kitaalam ya ni nini cha ziada kilicho kwenye samaki pweza ambacho kinaongeza nguvu au kusisimua kuelekea katika tendo...ambacho kwenye samaki wengine hakipo,
Au ni imani tu...?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.