Recent content by young sood

  1. Y

    Kwanini Jua la Asubuhi sio kali kama Mchana na umbali ni uleule?

    Hhhhhhaaahhhhh dah umeishia la ngp
  2. Y

    Meditation in your daily routine

    Bro npe faida zake pls
  3. Y

    Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

    Bro mungu achunguzwi siri yake anajua mwenyw ukitaka kuamin mungu jarbu kuwa unawaza hizi nguvu za kichawi nazo ni by nature o kuna kitu behind cpend tumjadili muumba na yy hapendi xo tuyaache ka yalivo cku ukifa ndo utaamini yupo au hayupo we c kiburi
  4. Y

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    Nmejarbu dah ka nachanganyikiwa nmeacha
  5. Y

    Watanzania nani alituroga?

    Jaman Tanzania tusubiri kiama tu hakuna maendeleo hta umlete Roosevelt
  6. Y

    Edward Lowassa special thread

    Haaaahhhhhhaaaaaa awekewe watu wa saikolojia atajiuwA
  7. Y

    Naweza kuanza kusoma degree NIT?

    Jaman mm nasoma. Nit logistics sikushauri uje utajuta
  8. Y

    Hivi kuna taasisi nyingine inayotoa mkopo tofauti HESLB?

    Jaman wana jf kama kuna shirika linalotoa mkopo. Tofauti na heslb atujulishe hapa
  9. Y

    HESLB wataongeza muda wa application kwa tuliochelewa?

    Jaman wana jf napenda kuulza kuba uwezkanao wowte wa bodi ya mkopo kwa wanafunzi kuongeza muda msaada tafadhar
  10. Y

    Ushoga hapana Tanzania: Let's say #NoToLoveWins

    Bro ckia kuna vitu vya kutetea bt kwa hili bro unatakiwa kuwa kmy wote ss hatupendi mamb ka haya coz co utaratb wa maisha na kidini pia haitakiw kwahy we ka c punga unashabikia ya nn hujui ni dalili ya kiama bro utapotea hoja na zko za kipumbuv tunatkwa ka watanzani tukemeee upumbavu ka huu
  11. Y

    Natafuta mchumba wa kike muislamu umli 19 kuendelea

    Nnaye Dada angu ana umri wa miaka 25 czuri xana BT ana shepu vp bro nkupe
Back
Top Bottom