Bro mungu achunguzwi siri yake anajua mwenyw ukitaka kuamin mungu jarbu kuwa unawaza hizi nguvu za kichawi nazo ni by nature o kuna kitu behind cpend tumjadili muumba na yy hapendi xo tuyaache ka yalivo cku ukifa ndo utaamini yupo au hayupo we c kiburi
Bro ckia kuna vitu vya kutetea bt kwa hili bro unatakiwa kuwa kmy wote ss hatupendi mamb ka haya coz co utaratb wa maisha na kidini pia haitakiw kwahy we ka c punga unashabikia ya nn hujui ni dalili ya kiama bro utapotea hoja na zko za kipumbuv tunatkwa ka watanzani tukemeee upumbavu ka huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.