Watanzania nani alituroga?

Watanzania nani alituroga?

Nikiwa kwa uandishi wa mpiga kura ndio nilishuhudia jinsi watz tulivyo.Wengi hata mwaka wa kuzaliwa shida. Hadi namba yake ya simu hajui japo anayo. Nilijiuliza maswali mengi sikupata jibu. Hii ni hatari kabisa

yaani hapo ndiyo ccm wanapojipatia kiulaini maana watz wengi Ni mbumbumbu
 
Kuna wapiga kura wapya zaidi ya Mil 15 zaidi ya wale wa mwaka 2010. Hawa peke yao wanaweza kabisa kubadilisha kura za URAIS.

Ukizingatia Rais wa sasa alichagulikwa wa kura Million 8 tu.

Kwa matokeo ya Uchaguzi serikali za mitaa - watanzania wameshaamka!!
 
1. Kuna wanaoneemeka na ufisadi wa system, hawa hata Anne Makinda akiwa rais kwao itakuwa poa tu, as long as wanakula kwa mrija.
2. Kuna wenye mapenzi na CCM tu toka moyoni, hawa wanafurahi kuiona CCM ipo madarakani.
3. Kuna bendera fwata upepo, hawaipendi CCM, hawaneemeki na system ila wenyewe wakisikia wengine wanasifia wao wanafuata tu bila critical thinking.

Number 1&2 wapo wachache sana na wanajitambua sana.
Number 3 wapo wengi sana, hawajitambui, hawa ndo wanaopewa kanga, ubwabwa. Wanamjugde mtu kwa appearance na wanaishi kwa anticipations kuwa fulani atafanya hivi kwasababu alifanya vile. Ndo maana leo anakwambia Magufuli jembe kwasababu amejenga barabara.

Subiri uone.
 
Watanzania hawajarogwa wamekaa wakafanya tathmini na kuona Dr Magufuli ndo mwarobaini wa matatizo yao. Huyu ndo atakayekomesha hayo yote ulioyaorodhesha hapo juu ila umejiandikisha lakini?
 
Ndiyo maana mimi nimesema bora niache hata kupiga Kura yaani kuwa na wananchi ambao wanajua tu ukiwa ccm ndo nchi inaenda ni shida sana,watu punguani wasiofanya utafiti si wasomi,wafanyakazi wote ni sifuri kichwani,ccm wape shida na endeleeni kuwakamua wajinga hawa
Kweli tumerogwa! yaani kuna majitu yanafikiria yasipige kura?
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukos amaarifa....Hosea 4:6 - Tz naona tumekuwa na tatizo hili
 
Treni zinawekwa maji tatizo ni elimu ya uraia mtu anaamini apige kura asipige ashinde magufuli ashinde slaa haitamsaidia chochote ukifuatilia vizuri hotuba ya jk alisema ccm tuko milioni sita tukabane wanaccm wapige kura halafu zitazobaki wagawane na ukawa akijua waliojiandikisha watakaopiga kura hawatazidi milioni kumi na mbili
 
Mkwere kageuza CCM saccoss ya Msoga na Chalinze!
 
Aliye tuloga ni sokoine mana alikufa yabila hatia Kwa sababu ya kutetea haki.
 
Yaani hii nchi cjui nani kailoga na watu wake
Yaani tumesha sahau
ESCROW
EPA
RICHMOND
KAGODA
BUZWAGI
MEREMETA
TEMBO KUUAWA
TWIGA KUPANDA NDEGE
MISAMAHA YA MADINI
MISWADA YA HOVYO YA GESI NA MAFUTA
KUPANDISHWA HOVYO BEI YA MAFUTA
WATOTO KUKAA CHINI
AKINA MAMA KUZALIA CHINI
MATAJIRI KUTHAMINIWA
UBOVU WA BARABARA
UBOVU WA RELLI
UHABA WA MAJI SAFI NA SALAMA
KUUZWA BENKI YA TAIFA
KUUZWA KWA SHIRIKA LA NDEGE
KUUZWA KWA NYUMBA ZA TAIFA
KIWIRA COAL MINE
UKOSEFU WA DAWA HOSPITALI ZA UMMA
KUSHUKA KWA ELIMU
MIGOMO YA WAALIMU NA MADAKTARI
MIGOMO YA WANAFUNZI
MIGOGORO YA ARDHI KUTOKANA NA SERIKALI
KUWATHAMINI WAWEKEZAJI WA KIGENI
KUHODHI VIWANJA VYA MICHEZO
KUHODHI MAJJENGO YA UMMA
KULINDA WEZI, MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI
KUUA VIWANDA ALIVYO VIJENGA MWALIMU
NYERERE
KUUA MASHIRIKA YA UMMA
KUONGEZA MATABAKA KWA WANANCHI
KUUA WANAHARAKATI NA WAANDISHI WA HABARI
( MWANGOSI)
KUPITISHA RASIMU ISIO YA MUAFAKA
ILIYO
FEKI
HIvyo basi,
nashangazwa na watu waelewa humu wanaosema
magufuli jembe
Wakati yupo serikalini tangu 1995
Ndani ya ccm
Nani ametuloga ??
Hapa magufuli ni pombe ile ile kwenye chupa
mpya.
Maskini Tz
Au elimu ya uraia tatizo ???
 
mimi tumbo linaniuma najaribu kufikiri hivi ni watu wangapi wanauchungu nilionao tuanzishe wazo mbadala,ni bora kujua nini kimejiri baada ya Kofia ya Nchemba kuwa na lebo nyekundu ya kichina na je uchawi wa ccm hatma yake nini,nini kimemfanya AK azunguke nchi nzima ilihali tunajua meli yake imesafirisha pembe za ndovu.
Sitambui nini hiki kinaendelea,watu tunasahau kama bata.
 
Watanzania hawajarogwa wamekaa wakafanya tathmini na kuona Dr Magufuli ndo mwarobaini wa matatizo yao. Huyu ndo atakayekomesha hayo yote ulioyaorodhesha hapo juu ila umejiandikisha lakini?

ushindwe na ulegee,mikataba ya gesi unajua msumbiji watavuta 45%kwa umakini walio ufanya kwenye contract? je nyie vviwwavvin ccm
dead
 
Kuna nchi alama yao ni ndege aina ya tai. Nchi nyingine alama yao ni simba. Tanzania alama yetu ni twiga. Tai anaona mbali sana na hata kwenyebiblia ametajwa. Simba ndo king of the jungle. Twiga anaweza fukuzwa hata na panya. Fisi mmoja anawafanya twiga 100 watimue mbio. Yaani twiga 100 wakishirikiana wanamua huyo fisi, lakini akili hiyo hawana. Wahenga waliona mbali ndo wakatuchagulia twiga
 
Watanzania hawajarogwa wamekaa wakafanya tathmini na kuona Dr Magufuli ndo mwarobaini wa matatizo yao. Huyu ndo atakayekomesha hayo yote ulioyaorodhesha hapo juu ila umejiandikisha lakini?

Hiyo tathimi wamefanya saa ngapi?. Wakati muda mfupi uliopita walikuwa upande wa lowasa?. Wewe ni mmojawapo wa waliorogwa kisha mchawi akafa. Kilazaaaaaaaaaa .
 
Back
Top Bottom