Ushoga hapana Tanzania: Let's say #NoToLoveWins

Ushoga hapana Tanzania: Let's say #NoToLoveWins

Kwaio sisi tusio sapport huu upuuz ni wa karne ya 20. kweli we umeendelea. Kwanza we ke au me¿
Mkuu serikali haitakiwi kumuamulia mtu masuala ya mahusiano hayo ni mambo binafsi na ni ya karne nyingi sana nyuma yakipigwa jeki na dini lakini dunia ya sasa tunavyozungumzia demokrasia na uhuru ambao wewe unafurahi lazima tukubali uhuru una mambo mengi mojawapo ni haki ya kupenda na kuishi na unayemtaka na kupendwa.
 
ukishaanza kugundua kwmb Vitu km Hivi vinakua okay kwako..Una matatizo makubwa Ndugu
Wala sina haja ya kujaribu binadamu hatupo sawa hivyo tukichulika sisi heterosexual ndio mfumo sahihi na homosexual ni wakosaji wakubwa, hivi nani anapenda kuchukliwa vibaya na jamii kama mashoga? Nani hapendi kuwa na familia?

Lakini wanafanya kama njia ya kuwa na furaha na mahusiano yao kama wewe, kama mimi shaleti nipo na lora na kuna alex anapenda ishi na john na kufurahia mimii nani wa kumwambia sio hiyo haki napata wapi?
 
Mkuu hii dunia ukitaka kukaa kwa amani bais jiwekee mipaka kwenye mambo ya kufuatilia ndio mana nasema masuala ya namna gani mtu aonyeshe upendo ni binafsi amerika ni progressive society wanajua nini wanafanya muda wa serikali kuwaamulia watu masuala binasfi umepita sana.

Mkuu honestly huo upendo unaousisitiza siuelewi..You are nothing but a gay sympathizer!!...And by the way, USA legalizing gays you call that progressive.,Phewwh...That's what is pure backwardness and complete ignorance about common sense of nature. Watch out after 20 years what will be America's position in the world, both culturally and economically. US popularity is hitting low bottom real quick. I have lived in the US, in far east and in the middle east...trust me America has become so very unpopular in past ten years that no not many people think they are awesome anymore,except in their own imaginations. Thats why they can do whatever they want to do with their culture,,little will it have a turn-around effect in other countries right now..No one care what america think anymore
 
Naomba ndugu zangu muniambie. Hivi kuteketea kwa miji ya sodoma na gomora ilikua kazi ya binadamu aliyofanya labda kwa kumwaga petrol au bomu au kazi ya Mungu kutokana na hasira zake kwa vitendo vyao vya kusodomize. Kama ni kazi ya Mungu ina maana tumeshasahau na kwamba hawezi kuirudia tena?
 
kama kiumbe wa karne ya 21 sioni shida kwenye namna watu wanachagua kuonyesha hisia zao.

we shoga?hebu tuondolee.lana zako hapa karne 21 inahusiana nn nauchafu wenu nyny tangia zama zaluti mlilaaniwa na uliskia kilchowapata nduguzako karne hizo sasa naweendeleza upunga wako kwakisingizio chahaki kma hujui hakiipokwnye mambo yahalali vle unajitia upnguani lkn adhabu yamw.mungu haikmbiliku.ndomana nyny karibia wotte mnaukimwi
 
shalet

Samahani mkuu..taratibu....kwa hiyo wewe John na Alex kufirana unaona ni kitendo kizuri? Kwa mfano huyo John ni mwanao akakuletea nyumbani kukutambulisha kuwa ataolewa na Alex, utamruhuru? Ni desturi ipi unaifuata kuruhusu huyu mwanao kiolewa na Mme mwenzie?
 
Last edited by a moderator:
shalet, hivi unajua nini maana ya neno bisexual??? Kwa kulitamka tu nakuona hauko nomo.. hapa umefeli na uajenti wako
 
Last edited by a moderator:
Naomba ndugu zangu muniambie. Hivi kuteketea kwa miji ya sodoma na gomora ilikua kazi ya binadamu aliyofanya labda kwa kumwaga petrol au bomu au kazi ya Mungu kutokana na hasira zake kwa vitendo vyao vya kusodomize. Kama ni kazi ya Mungu ina maana tumeshasahau na kwamba hawezi kuirudia tena?

Moto wa Sasa Hivi ni burning sulphur halafu sijui watu kwanini hatuogopi neno milele..siku tukijua milele ni nini ufuska Wote kwishnehi
 
Hapa pagumu kila mmoja afe na msalaba wake! tatizo la ushoga haliwezi kumalizika hapa jf!! Na wanaosupport ushoga wanapoteza hela nyingi sana kutimiza azma yao na msipo kubali dunia itasambaratishwa kwa Nuclear Bomb! na nchi yoyote itakayo thubutu kupiga ushoga utawekewa vikwazo hadi mjisalimishe angalieni Zimbabwa!! Usimwangalie nani kafanya nini ili na wewe uinge fuata yale unaona yanafaa kwako Ushoga haukubaliki
 
ninachojua ushoga kwa mwanaume inatokana na mwili wake kuwa na hulka za kike mwendo sauti umbo umbea hips makalio itikadi zote za kike wanakuwa nazo japo ni wanaume mi niliwahi kusoma nae mmj o level na mwingn alikuwa kitaa tunachokaa
 
Mkuu dunia hii tunapita tu kama wewe una furaha kuonyesha upendo wako kwa mtu fulani huna haki ya kumzuia na mwinfine kuonyesha upendo wa upande ambao hautaki kweli upendo wa watu hautudhuru kitu


Mkuu pole Sana.

kwanza Hiyo avatar yako, ya Steve Job ni ishara tosha, hako ka-genius kulikuwa shoga...hadi baada ya baadhi ya watu kulitambua hilo in middle East mauzo ya brands zake zimeshuka Sana...

Sasa nimeona hiyo avatar na unavyo support ushoga ......Daaah, nimestuka kidogo (I thought steve has rose again)


Anyway, labda mwana sio riziki....
 
Back
Top Bottom