Chezea TZ wewe...yaani hapo hakuna kibao sijui Daraja hili limejengwa kwa msaada wa watu sijui wa nchi gani sijui;
Wazo: Kipigiliwe kibao chenye maelezo haya: "DARAJA HILI LIMEJENGWA KWA FEDHA ZA WALIPA KODI WA TANZANIA"
Libya walipigiwa 'single' hiyo hiyo ya 'demokrasia' walipojichanganya tu kwa kukubaliana nayo kuwa hawana demokrasia basi hadi leo hawamjui raisi wao ni nani wala bunge lao ni lipi....wana mawaziri wakuu kama watatu hivi yaani ni shiiiida. Hapa mimi naona nchi inatafutiwa 'timing' ivurugwe...
Usishangae! Mimi nachukulia idadi ya watu wa Kilombero na Dar es Salaam, mwingine ataangalia ya Bagamoyo. Kwa mujibu wa sensa ya taifa ya mwaka 2012: Wilaya ya Kilombero yenye kata 35 ilikuwa na watu 407,880 ikiwa na maana kila kata ilikuwa na wastani wa watu kama 11,654; mkoa wa Dar es Salaam...
Niliwahi kusikia hotuba ya baba wa Taifa, Mwl Nyerere, akisema wakati wa utawala wake hawakuwa na mchezo na suala la rushwa....Namnukuu "...mtoaji na mpokeaji wazanaki wanasema wote 'manzanyanza'..." Mwisho wa nukuu. Hivyo ndivyo sheria ile ya rushwa ilivyo yaani mtoaji na mpokeaji wote...
Sijakuelewa vizuri....umepiga mimba ya mke wa mtu? Kama ni hivyo mbona fasta tu unatakiwa ufunguliwe mashtaka!!....Yaani umemdhuru mtu maungo yake. Lakini kama kwenye maelezo yako tatizo ni lugha yaani labda unamaana nyingine, mfano kumtunga mimba mke wa mtu.... hapo jiandae kushtakiwa kwa kosa...
Sitamsahau Simba wa Vita aliyewahi kushika wadhifa wa Uwaziri Mkuu kwenye serikali ya Tanganyika na kwenye serikali ya Tanzania huyu ni Marehemu Rashidi Mfaume Kawawa.
Pole, hayo maelezo ya kumtetea huyo mzee wako tu yapo hivyo je ukiambiwa uimbe wimbo wa taifa la Tanzania utaweza? Si kitu, hapo unaweza kuwaona jamaa wa UNHCR au kama wapo humu ndani subiri huruma zao vinginevyo utaumizwa zaidi kimawazo.
Yaah nadhani hilo alilokueleza prof halina ubishi, lakini vipi kuhusu hawa sokwe wa jamii ya Bonobo mbona wao wanapiga ngono mwanzo mwisho yaani wanajiachia kuzidi maelezo? Tena nasikia hao Bonobo ndio mabinamu wa karibu wa binadamu huko msituni, je hawawezi nao wakawa ni wamojawapo wa kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.