Kigamboni Bridge at Night Looks so Beautiful

Kigamboni Bridge at Night Looks so Beautiful

Soon vijana kutoka mtwara watapafanya kuwa supermarket kubwa hapo...wakisaidiwa na boda boda......
 
Bongo tunachekesha kwa kweli. This is just a bridge kuna cha ajabu kipi?When you think about this for a minute......Tunatia huruma kwa kweli
 
Mwekezaji no. 1 TZ Ni Kenya ikifuatiwa na afrika kusini. Kenya wana kampuni nyingi kubwa hapa TZ yakiwemo mabenki kadhaa
Kwa nini wasiwekeze kwao? Ni sababu ya better business prospects. Kwa hiyo point yako haina mantiki hata kidogo.
 
1461043689024.jpg
1461043696640.jpg
1461043706910.jpg
1461043715593.jpg
1461043725223.jpg

picha kwa hisani ya mtandaoni wa facebook.
 
Nimesikia wajinga (wenyewe munawaita wajanja) wameshaiba camera 4.
 
Ile harusi hangu sasa nitafungia hapo mnakaribishwa wanajamvi wote...
 
Chezea TZ wewe...yaani hapo hakuna kibao sijui Daraja hili limejengwa kwa msaada wa watu sijui wa nchi gani sijui;
Wazo: Kipigiliwe kibao chenye maelezo haya: "DARAJA HILI LIMEJENGWA KWA FEDHA ZA WALIPA KODI WA TANZANIA"
Subiria tazara uone machata ya wajapan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom