Inauma sana kwamba oparesheni hii imegeuzwa biashara kwa wanaoisimamia. Kuna member humu juzi kasema alipokuwa anasafiri toka Kigoma alipona baada ya kuombwa kitambulisho na kukuta jina lake kwenye leseni ya udereva ni la asili ya nyanda za juu kusini (Kina Mwa...). Angekutwa na jina la kiha au kihangaza yangemkuta makubwa.
Hata mzee Samuel Sitta ameeleza hofu yake juu ya uendeshwaji wa zoezi zima na mwisho kauliza, serikali ilikuwa wapi miaka yote hao wahamiaji haramu wakiwa humu nchini? Why today!
Sitta yeye sio sehemu ya Serikali? Au mke wake naye ni mtutsi nini?!!