Kutoka hapa ktk Kijiji cha kasumo,wilaya ya buhigwe mkoani kigoma,. Ambapo pia ni nyumbani kwa v.i.p dr philipo isdory mpango....mwili wa marehem umewasili jioni ya jana na mazishi yatafanyika asubuhi...habali za uhakika ni kua...che malone amegalamia shughuli zote za msiba, ikiwa ni pamoja na...
Mm Nashauri ndugu zangu, serikali yetu tukufu..iturejeshee kodi ya kichwa,kodi ya baiskeli huku kwa wakulima wa maharage na mahindi kakonko...pikipiki nazo zimekua nyingi ningeshauri ianzishwe kodi maalum kwa bodaboda...Au nasema uongo ndugu zanguni?
Jkt, umri nilijaza na cheti cha STD7...Kwa kweli nilijaza taarifa za uongo lakini ajabu nimeitwa..nawaza sijui niache kuchoma nauri yangu au niichome tu....Tafadhali napokea ishauri
Shida yenu ni misifa nakupenda kutukuzwa kama wafalme...jitu linaona mhudum yuko bize, kabla ya kusema lifuate kinywaji kaunta utalikuta limekazana kuita mhudum kama limefungwa kwenye kiti...nyoko zenu walevi mbwa.
Habarini za kutwa wakuu.
Poleni kwa mihangaiko ya mchana kutwa.
Nina kijana kahitim kidato cha nne mwaka huu 2021, kwa sasa hivi yupo tu nyumbani hana shughuli ya kujishugulisha, hivo ningependa kipindi hiki ambacho anasubilia matokea aweze walau kupata hata certificate ya udereva.
Nimekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.