2015 mwezi wa 9 dadeki naanza life songea chumba nilijichanganya nilipanga self 25000 godoro mbili na nusu kwa sita nanilikuwa nimelitupachini sikuwa hata nachombo chochote zaidi ya kismart phone changu tecno M3 lakini saivi mambo kwenye mstariii mwanzo haujawahi kuwa...
Nimekumbuka mateso niliyoyapata kumsahau mapenzi yananguvu ila sema saiv siumiagi nisakuwa malaya naanzaga kukusahau kabla ya tendo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mkuu bangi iache tu siku moja kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza tukapewa assignment ya group najicheki mwamba confidence sina na inabidi kupresent kama kesho dadeki nikawaza nafanyaje Mwanangu mmoja kwajina nilikuwa na mwitaga mtoto wa obama akashauri tupige pombe mimi nikamchana...
Ndoa au mahusiano hayapimwi kihivi unaweza ukafanya yote naakacheat na bodaboda unaweza ukajua unampga kumnyoosha kumbe ndo sababu yake anatafuta akuache weee acha tu tuishiishi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.