Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,355
- 5,950
Mimi hao ndio kabisa wananiibia, bando linaisha fasta na wanatuma text nimemaliza lkn nikicheki kwenye data usage na kupiga mahesabu nakuta karibia Mb 200 kwny Gb 2 hazijatumika.
Nilijiunga ya mwezi, mzee hata wiki haijafika wakazifyeka