mbwadinho
Senior Member
- Jun 29, 2016
- 180
- 102
Habari za majukumu wataalam,
Nimekuwa na tatizo kwenye sikio takribani miaka 2 sasa tatizo lilianza kutokea baada ya kupingwa sehemu ya sikio la kushoto na baada ya siku mbili lilitoa damu nyeusi baada ya hapo nikawa nasikia maumivu ndipo nilipotumia dawa ya kudondoshea sikioni baadae likatulia.
Baada kupita muda fulani nikawa sisikii kupitia sikio hili la kushoto hadi leo saa zingine nikiongea naona kama sauti inapitia huku kushoto sikioni kwa siku mbili hizi sipati usingizi kwani sikio kwa ndani kuna mdudu anatekenya kama anataka kutoka nimeweka mafuta ya kuku lakini haisaidii, nimeweka dawa ya kudondoshea kwenye sikio pia haijasaidia kitu.
Naomba msaada kwa mwenye kujua tiba ya hili tatizo asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa na tatizo kwenye sikio takribani miaka 2 sasa tatizo lilianza kutokea baada ya kupingwa sehemu ya sikio la kushoto na baada ya siku mbili lilitoa damu nyeusi baada ya hapo nikawa nasikia maumivu ndipo nilipotumia dawa ya kudondoshea sikioni baadae likatulia.
Baada kupita muda fulani nikawa sisikii kupitia sikio hili la kushoto hadi leo saa zingine nikiongea naona kama sauti inapitia huku kushoto sikioni kwa siku mbili hizi sipati usingizi kwani sikio kwa ndani kuna mdudu anatekenya kama anataka kutoka nimeweka mafuta ya kuku lakini haisaidii, nimeweka dawa ya kudondoshea kwenye sikio pia haijasaidia kitu.
Naomba msaada kwa mwenye kujua tiba ya hili tatizo asante.
Sent using Jamii Forums mobile app