Mimi tatizo langu kubwa ni jinsi wanavyokadiria bando. Sijui wanatumia vigezo vipi? Tsh500mb70. Tsh1000mb200Tsh2000gb1
Mbona sioni wiano wa thamani ya pesa ya mnyonge hiyo ni tathmini ya viwango vya siku. Bado hujaangalia wiki na mwezi.
Na bado ukiunga na usipotumia muda ukiisha wanachukua...
Mimi naitwa YASINI MIKAILI KIRIA ni freelance wa vodacom. Ninalo tatizo la usajili wa lain. Nisajili laini kwa mteja tangu jana saa 10 hadi muda huu hasijakamilika.
Utambue uwepo wa Allah.
Huyo ni mnyama lakini sisi binaadamu tumesidiwa na mnyama. Mke wako anashikwa na jianaume wewe unacheka tuu. Eti unaekiti usungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.