Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,276
- 31,397
Kichepushwa je..!?Kiben10 hapana
Kichepushwa je..!?Kiben10 hapana
Tafadhali usiwe tu, mwanamke mwenye jinsia mbili, mkafika huko mkageukana, kwa kutafuta bikra za vijana wa kiume! na kuwabomoa! ke'' rijali wanakuja wenyewe tu! je ni kweli wewe u ke?'' nihakikishie ili niondoe mashaka!Amani kwenu wakuu, upweke umenikalia kooni naona siwezi kustahimili tena, upweke ni mbaya saaaana haungalii umesoma, una pesa au hauna, umeumbika kama zebra au vinginevyo, upweke unaumizaaaa.
Mimi ni mwanamke 40yrs nahitaji mwanaume ambaye nae ana uhitaji kama wangu ila awe mkristo. Usaili mwingine tutafanyiana PM.
Wahenga karibuni only kwa walio serious tafadhali. Asante
Hebu Ni PM nikwambie kitu. AsanteAmani kwenu wakuu, upweke umenikalia kooni naona siwezi kustahimili tena, upweke ni mbaya saaaana haungalii umesoma, una pesa au hauna, umeumbika kama zebra au vinginevyo, upweke unaumizaaaa.
Mimi ni mwanamke 40yrs nahitaji mwanaume ambaye nae ana uhitaji kama wangu ila awe mkristo. Usaili mwingine tutafanyiana PM.
Wahenga karibuni only kwa walio serious tafadhali. Asante
Hahaha ahaaaa ...
InshaallahUtanifaa wewe bila shaka.
unachagua miaka 20 mizima? maana toka ukiwa 23 ulipaswa kuanza chagua mpaka kufikia 28 uwe ushapata wa kufanana nae.Hata ng'ombe mnadani huwa tunachagua.
Ngo ngo ngo!!! HodiiClosed and locked