Kauli mbiu yako ya "vua gamba, vua gwanda, vaa uzalendo" sio sanifu. Kwanza umeitohoa kutokana na ya Chadema ya "vua gamba, vaa gwanda"
Uzalendo ni kitu kisichoonekana bali matokeo yake ndio yanayoonekana. Uzalendo ni mawazo ambayo hujazwa kwa watu kupitia mafundisho ya mara kwa mara ya watu...