YanguHaki
Senior Member
- Oct 11, 2010
- 129
- 9
Sijakuelewa ukimwita mtu padre ulifikiri sio udini bali ni nini? Kweli Dr. alikuwa padre sasa kumwita padre ni kutaka kusisitiza huo upadri kwani kwa sasa hafanyi kazi ya upadri. Na huo ni udini!
Kumbe kumuita slaa kwa title yake ya UPADRE ni udini? hebu jifunze kujenga hoja we mchadema!