Yaliyojiri Mkutano wa CCM Viwanja vya Jangwani (Dar) Juni 9,2012

safi sana CCM .... gwanda lazima lichanike ...!! hadi 2015 watavaa ch**pi tu
 
Duh kweli tabu watu wanakiri kuwa wanajua kuna matatizo ya mfumuko na vitu kadha wa kadha alafu viazi wanajibu sema babaa
 
yaani pale
  • 25% wako kikazi, kwamba ni viongozi chama katika nafasi mbalimbali au watu wa usalama (kasoro polisi, hawa wamenawiri sana, kweli wanakula mema ya nchi)
  • 70% wameletwa na mabasi tena hawa walikua wanashuka unajiuliza mara mbilimbili kama wanaelewa hata nchi inavoendeshwa wengi wana afya mbovu kuonesha hali yao ilivvyo ngumu, wamekonda na wako dhoofu sana, sijajua kitu gani kiliwafanya waje, labda ni watu walikusanywa wakapewa pesa, wengi walikua na tshirt za ccm mpya ila ni za wakati wa uchaguzi wa 2010, inaelekea kuna stock ilibaki ndio wametumia
  • 5% ndio kama sie tulioenda kuangalia hawa wenzetu wanakipi kipya
 
Kadi elfu nne kwa staili huwezi kuzipata! Sidhani kama hata thelasini zipo! Pia nimeona bendera kama nne hivi. Lakini huu ni mchezo wa kuigiza tu. Kwa njaa hii kila kitu kinawezekana!
 
Naona uko kazini, na akili zako ni mgando sana..endelea upate ujira sitakujibu tena...
 
CCM, mnaijenga CDM bila nyie kujua, tunafurahi kuwa kila mkisisima ni lazima muitaje chadema, sasa wananchi wanaanza kugundua jambo, maisha magumu ni fundisho tosha kwa mtanzania
 
Huu utakuwa usanii mwingine wa ccm,kwa nini ziwe ni kadi za Chadema tu na sio za CUF/TLP/NCCR!!!!?.Mficha ugonjwa kifo humuumbua,hii danganya toto ya ccm 2015 wataumbuka.
watu wa propaganda wa ccm ni mazuzu saana..hata logic ya kufanya mambo hawana...ujinga umewajaa..hivi kwa mtu unayefikiri...ni chama gani cha upinzani ambacho kimeonyesha ufanisi na kupendwa zaidi TZ kati ya cuf,TLP, NCCR na CDM???....jibu ni CDM(ndio wenye wabunge wengi kuliko vyama vingine vya upinzani)...Kwahiyo kwa mantiki ya kawaida ungetegemea kadi zirudishwe kwa wingi kutoka vyama hivyo vingine vya upinzani na si CDM....kwa mantiki tu ndogo ungetegemea labda hata usione kadi za CDM zikirudishwa.....lakini hawa mazuzu wa propaganda za CCM wamehadaa umma kwa kurudisha kadi za CDM peke yake.....watanzania wa leo wanajua yote.....only time will tell...
 
Kwa kauli kuwa CCM wanaukimbia uwanja wa Jangwani kwa kuwa hawajazi watu na wanawanachama wachache ambao hawawezi kuja kujaza jangwani.,mbowe hukuwa sahihi.,sitakulazimisha kukubali kwa maneno yangu, bali angalia kwa macho yako na kisha kubali kwa nafsi yako kuwa CHADEMA kuwa level ya CCM ni baadae saaaaaana.View attachment 55896

Toka lini wakasema ukweli hao? leo umewashuka.
 
Posho, malori, Chegge, Kopa, Diamond and co. Halafu wengi walikuwa wanaonekana kabisa kwamba hawapo hapo. Wakitakiwa kujibu jambo, ni wachache tu ndio wanaoitikia. Inaonekana wengi hawakwenda kwa mapenzi yao zaidi ya kusukumwa na njaa za matumbo yao. CCM kwishney!
 
attachment.php

Uwanja umejazwa na viti na siyo watu.
 
Back
Top Bottom