Dah R. I. P Bibi , najua kwenye death bed yake kuna maneno ameongea hii laana itatafuna mtu kama sio yeye kizazi chake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha niamini tu taarifa ya awali... Magonjwa ya moyo siku hizi yame advance yaani yanakuvua nguo, kisha sijui yanakufanya nini mwisho yakukata ubooo duh
Sent using Jamii Forums mobile app
"Harudi mtu Bongoa nimeteseka sana aisee"
Hii ulimaanisha Bong'oa? Angalia mzee kimtokacho mtu ndicho kilicho ujaza moyo wake
Na hizo pozi za picha basi sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kafungwa kwenye kiti
Kakatwa uume
Kanzu imevuliwa ikawekwa pembeni..
Kauliwa Ofisini kwake
Maiti kujulikana baada ya siku tano
Mnaosema ni mambo ya wanawake mtakuwa hamjafikiria vizuri... Unless awe ametembea na Mke wa Jack Zoka ama Kipilimba.
Vinginevyo hakuna raia wa kawaida anaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.