Cosmasjulius
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 695
- 1,005
Haa ha ha... Jamaa falaa sanaaaFaru Fausta msalimie Nyerere ukikutana nae, mwambie nchi imepatikana safari hii, raia hali mbaya mpaka skin-tight zinapwaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haa ha ha... Jamaa falaa sanaaaFaru Fausta msalimie Nyerere ukikutana nae, mwambie nchi imepatikana safari hii, raia hali mbaya mpaka skin-tight zinapwaya.
Poleni sana wafiwa, kaacha watoto na wajukuu wangapi?
Mazishi lini?
Hhahahahahahahahahhahaa mbavu zangu mm jaman nimecheka sana!Faru Fausta msalimie Nyerere ukikutana nae, mwambie nchi imepatikana safari hii, raia hali mbaya mpaka skin-tight zinapwaya.
Taratibu za mazishi zinasubiri Mzee amalize mapumziko ya Mwisho wa mwaka tujue kama ataweza kuhudhuria au vinginevyo maana bila ya juhudi zake huyu Faru angeshauliwa mapema sana na Majangili
Kifo cha kawaida cha Faru Fausta ni ishara ya uwajibikaji na juhudi ya awamu ya Tano otherwise angeuwawa na Majangili
Fuasta akuhamishiwa Burigi kweli huko akakutana na vitoto haviwezi kazi akafa kwa sononeko
Sent using Jamii Forums mobile app
Inamaana sisi wafungwa ndio wakula mizogaNyama yake inaliwa? Tuwapelekee wafungwa au wajitaji wengine. Si ameshaingizia taifa fedha nyingi za kigeni na hana ugonjwa!!!
Ndiye aliyeundiwa tume ambayo iliishia hewani kama barua zangu za wito kwenye kamatiAkiwa na umri wa miaka 57 yule faru wetu maarufu Fausta ametuwacha.
Ni faru ambaye amelighalimu taifa mamilioni ya fedha ili kuokoa maisha yake ili aendelee kuishi lkn mungu daima hana mshindani na leo hii katutoka. View attachment 1305741
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba faru anathamani kubwa kuliko binadamu?!!?Akiwa na umri wa miaka 57 yule faru wetu maarufu Fausta ametuwacha.
Ni faru ambaye amelighalimu taifa mamilioni ya fedha ili kuokoa maisha yake ili aendelee kuishi lkn mungu daima hana mshindani na leo hii katutoka. View attachment 1305741
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba faru anathamani kubwa kuliko binadamu?!!?
Ni tanzania pekee kuthamini wanyama kuliko binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri
Hahahaaaa.jamani unasahau kuuliza kama kaacha mganeOngeza ongeza nyama kwenye cv ya marehemu..
Kaacha watoto wangapi? Wajukuu wangapi? Alikua anapiga mishe gani n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la msingiAna uhusiano wowote na marehemu Faru John!?