Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Velkommen her i Molde, min lille venn.We unaumwa kabisa yaan hata picha yangu nayo unaibishia? Watoka kigoma nini?
Velkommen her i Molde, min lille venn.We unaumwa kabisa yaan hata picha yangu nayo unaibishia? Watoka kigoma nini?
Mkuu huyo hayuko Norge hata picha alizoweka hapo ni za Helsinki Finland akitudanganya ni MoldeVelkommen her i Molde, min lille venn.
Hakuna PRISMA butikk hapa Molde.Mkuu huyo hayuko Norge hata picha alizoweka hapo ni za Helsinki Finland akitudanganya ni Molde
Karibu TCI.Hata likizo Turks and Caicos.
Juzi mtu karudi Bongo kadakwa airport, wamemuweka mpaka picha na namba ya passport JF.
Nika i report thread.
Wakaifuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tulioshia kenya tu sijui tunacomment wap maana kuna finland sijui NorwayMkuu huyo hayuko Norge hata picha alizoweka hapo ni za Helsinki Finland akitudanganya ni Molde
Wala haitishi. Nikutii tu mamlaka halali iliyopo hakuna wa kukufuata. Ukijifanya kimbelembele na kiherehere utashukiwa kama mwewe. Mustakabari wa nchi lazima ulindwe kwa njia zozote zile.
WEWE JAMAA MUONGO SANA HUONI AIBU??? HIZO PICHA NI ZA HELSINKI FINLAND. HIYO TRENI NI HELSINKI HATA NEMBO YA HELSINKI TRANSPORT IKO HAPO HSL. PRISMA NI S HEKILANTO CHAIN INAPATIKANA FINLAND NA WAMEFUNGUA PIA ESTONIA. NASOMAGA NYUZI ZAKO ZIMEJA KUSADADIKIKA NA UWONGO. UNAPATA FAIDA GANI?
NIMEISHI NORWAY WEE JAMAA UNAKERA. UNACHUKUA PIACHA ZA WATU NA KUPOST HUMU. SHAME BE UPON YOU
Wala haitishi. Nikutii tu mamlaka halali iliyopo hakuna wa kukufuata. Ukijifanya kimbelembele na kiherehere utashukiwa kama mwewe. Mustakabari wa nchi lazima ulindwe kwa njia zozote zile.
Hakuna PRISMA butikk hapa Molde.
Usinilishe maneno tafadhali.Kwa hyo unataka kusema mleta mada ni mpishi mashuhuri wa CHAI pale manzese?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala haitishi. Nikutii tu mamlaka halali iliyopo hakuna wa kukufuata. Ukijifanya kimbelembele na kiherehere utashukiwa kama mwewe. Mustakabari wa nchi lazima ulindwe kwa njia zozote zile.
Hata likizo Turks and Caicos.
Juzi mtu karudi Bongo kadakwa airport, wamemuweka mpaka picha na namba ya passport JF.
Nika i report thread.
Wakaifuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivip mkuu mbona unatutisha sasa?!Hata likizo Turks and Caicos.
Juzi mtu karudi Bongo kadakwa airport, wamemuweka mpaka picha na namba ya passport JF.
Nika i report thread.
Wakaifuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nilitaka kucomment the same ! But I knew down the line someone amecomment 😎 kwa muonekano tu....Aisee na mimi nilitaka ku comment kitu kama hiki khs namna alivyosimama,si mchezo kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app