Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,475
- 45,784
Unaweza kumnunua laki moja?
Kipi kitakushawishi umnunue laki moja.
Mkuu hawa kuku aina ya Kuchi na wengine wanaitwa Java aseel ambao wanapatikana sana India na Pakistan
Huwa wanatumika kwa kupiganiswa kama kamari na watu hupata hela kwa kazi hiyo
Wengi wanaobahatika kupata pure breed huwa wanapeleka Zanzibar na kuwauza huko
Anaewajua vizuri na kupata pure anaweza kulipia mpaka laki 4 na kwenda kuwauza kwa 1m (nina ushuhuda)
Hawa kuku ni vita tu hawajui kitu kingine maana hata Afghan wapo sijui ni risasi zile
Sent from my iPhone using Tapatalk