Hiyo ishu ya kusema waliochini yake wamemuangusha ndio sipendi kuisikia kabisa!!!...Hata kwa jk ilikuwa hivyo hivyo, mkuu usipokuwa mfuatiliaji waliochini yako watapiga dili tu, mbona kwa magufuri tunaona hadi wakuu wa wilaya wanaiga mkuu anachokifanya?..
Tulienda na jamaa yangu Mmoja hivi Ku process ishu ya mafao baada ya kuacha kaz katika shirika fulani, nilishangaa jamaa kufanyiwa mambo yake mapema na kubaki mm tu nikahisi labda kwa sababu jamaa Ni muislam na mm Ni mkristo na aliyekuwa anatuhudumia na muislam? Leo ndio nmeamini Sasa..,!?
Hata hivyo hospitali nyingi za wilaya ma CO's ndio wanapiga sana kazi na MD Ni kuzunguka tu wakishasaini wanaenda kufanya yao,na hilo nalo liangaliwe sio lawama tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.