Recent content by Yabisi

  1. Y

    Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

    kweli proff J. ni tishio naona watumishi wa ndani wa wahindi RITZ,CHAMA, ZE MARCOPOLO wameteka jukwaa
  2. Y

    CHADEMA Yazidi Kujikoroga mwaka 2013

    per dm imeingia
  3. Y

    Wabunge hawa wa CHADEMA ni janga kubwa

    Join Date : 28th November 2012 Posts : 5 TUMSAMEHE HUYU MTU NI WALE NDUGU WA PERDM NAYE SIKU IMEPITA
  4. Y

    CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

    cv ya ungo coz jamaa kasoma A level meta secondary
  5. Y

    Wasomi wa Chadema Tujiandae Kushika Uongozi wa Halmashauri, Manispaa na Majiji

    mzee wa per diem vp haujahudhuria mkutano mku nini! Posho imeingia kwa mtindo huu.fine yote maisha 2
  6. Y

    Membe na Kikwete ni ndugu

    Inasemekana kuwa wako baba mmoja ingawa ni fununu zisizo na ushahidi
  7. Y

    Operesheni Sangara Mkoa wa Morogoro yaisambaratisha kabisa CCM

    magamba yameshikwa pabaya,2015 tunawakaribisha kijiweni muoenje ladha ya jua maana mmezoa vipupwe
  8. Y

    "CHADEMA Wamechakachua Picha"!

    kweli RITZ umeishiwa kwahiyo tofauti ni uwepo/kutokuwepo kwa bendera lakn watu ni wale wale?jitahidi kukubari ukweli kuwa GAMBA limekuelemea
  9. Y

    Bunge Senegal kufutwa kuokoa maisha

    sijajua nini response ya wabunge hao wa senate but ingekuwa tanzania kuna watu wangezimia au kufa kabisa hasa MAGAMBA ie anna killer ngo, sophia simba, lyatonga mrema,etc
  10. Y

    Viongozi wetu na Kingereza

    kwani lazima uweke post ndugu? sio lazima wote tuimbe
  11. Y

    Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

    nipo tandahimba naona wanafunzi nje ya ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri wakisubiri hatima yao
  12. Y

    Unyanyapaa wa Chadema

    naona ongezeko la posho za propaganda linafanya kazi
Back
Top Bottom