CHADEMA Yazidi Kujikoroga mwaka 2013

CHADEMA Yazidi Kujikoroga mwaka 2013

nimependa point namba 2,wafute neno "DEMOKRASIA" Kiwe chama cha Maendeleo na Fikra sahihi za Mbowe(Chamafisambo)! Chadema ni Kampuni ya Uko wa Kichaga hawana Demokrasia!

Mazoba wanasaidiana kutetea Pumba za Zoba mwenzao!!!
 
Ni upuuzi kujadili thread kama hizi wakati pembe za ndovu zilikamatwa tena Hong kong wiki mbili zilizopita.

pia ukizingatia hivi sasa kuna mbunge ana ujauzito wa mheshmiwa mmoja kigogo kabisa ndani ya chama
 
jamani is CHADEMA untouchable? tuacheni ushabiki wa kijinga any criticism ya CHADEMA wafuasi wao wana lebel as "pumba"
 
chadema imeanza mwaka 2013 pasipo mashiko wala dira ya waendako. Hali hii ni faida kwa watanzania kwa vile imetupa fursa ya kupata kutambua uwezo wa viongozi wa chadema kuhusiana na maendeleo ya nchi yetu.
Leo ni siku ya tano, januari 2013 viongozi wao wamekuja na kauli zinazothibitisha ufinyu na uwezo mdogo waliokuwa nao;-
1. Kamati ya utendaji chadema iliirukia hutoba ya rais jk kuwa amefanya kosa kutoa ratiba ya mchakato wa kuelekea katiba mpya; leo wameumbuliwa na jaji warioba.
2. Mbowe katoa kauli ya kumuunga mkono dr.slaa kuwa mgombea wa urais kupitia chama chao 2015; kauli ambayo imethibitisha ukosefu wa demokrasia ndani ya chama chao pamoja na kuwepo kwa mwenyekiti asiyejua mipaka ya kutoa kauli.
3. Leo kikao cha bavicha kimekuja na fungua mwaka ya kuunga mkono madai ya watu wa mtwara yanayoonyesha kuvunja utaifa;

hiki chama hakina muono wa mbali badala yake wamekuwa hodari wa kurukia hoja kila kukicha!


maisha magum hapa mjini,usipofanya hivi utaenda vip chooni??
 
pia ukizingatia hivi sasa kuna mbunge ana ujauzito wa mheshmiwa mmoja kigogo kabisa ndani ya chama

Munyangaa jadili issues acha kujadili watu,sasa ulitaka upewe Ujauzito wewe? Unawashwa kweli wewe watu wakipeana mimba unanuna nenda na wewe ukapewe
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Pai
CHADEMA imeanza mwaka 2013 pasipo mashiko wala dira ya waendako. Hali hii ni faida kwa watanzania kwa vile imetupa fursa ya kupata kutambua uwezo wa viongozi wa CHADEMA kuhusiana na maendeleo ya nchi yetu.
Leo ni siku ya tano, Januari 2013 viongozi wao wamekuja na kauli zinazothibitisha ufinyu na uwezo mdogo waliokuwa nao;-
1. Kamati ya Utendaji CHADEMA iliirukia HUTOBA ya Rais JK kuwa amefanya kosa kutoa ratiba ya mchakato wa kuelekea KATIBA MPYA; leo wameumbuliwa na Jaji Warioba.
2. Mbowe katoa kauli ya kumuunga mkono Dr.Slaa kuwa mgombea wa Urais kupitia chama chao 2015; kauli ambayo imethibitisha ukosefu wa demokrasia ndani ya chama chao pamoja na kuwepo kwa mwenyekiti asiyejua mipaka ya kutoa kauli.
3. Leo Kikao cha BAVICHA kimekuja na fungua mwaka ya KUUNGA MKONO Madai ya Watu wa Mtwara yanayoonyesha kuvunja UTAIFA;

Hiki chama hakina muono wa mbali badala yake wamekuwa hodari wa kurukia hoja kila kukicha!

hizi pumba kamweleze mtoto wa chekechea, darasa la saba atakucheka na kukuona mwehu, nothing you have written!
 
Hamuwez kukubali ila CHADEMA cyo tena ile tuliyoitazamia.kifupi imekuwa chama cha matamko,wao kila kitu hata kisichowahusu wanakisandalia tamko,kwa vile vyenye maslahi wanavitolea matamko ya kishenzi.kwakwel wanakera
 
CHADEMA imeanza mwaka 2013 pasipo mashiko wala dira ya waendako. Hali hii ni faida kwa watanzania kwa vile imetupa fursa ya kupata kutambua uwezo wa viongozi wa CHADEMA kuhusiana na maendeleo ya nchi yetu.
Leo ni siku ya tano, Januari 2013 viongozi wao wamekuja na kauli zinazothibitisha ufinyu na uwezo mdogo waliokuwa nao;-
1. Kamati ya Utendaji CHADEMA iliirukia HUTOBA ya Rais JK kuwa amefanya kosa kutoa ratiba ya mchakato wa kuelekea KATIBA MPYA; leo wameumbuliwa na Jaji Warioba.
2. Mbowe katoa kauli ya kumuunga mkono Dr.Slaa kuwa mgombea wa Urais kupitia chama chao 2015; kauli ambayo imethibitisha ukosefu wa demokrasia ndani ya chama chao pamoja na kuwepo kwa mwenyekiti asiyejua mipaka ya kutoa kauli.
3. Leo Kikao cha BAVICHA kimekuja na fungua mwaka ya KUUNGA MKONO Madai ya Watu wa Mtwara yanayoonyesha kuvunja UTAIFA;

Hiki chama hakina muono wa mbali badala yake wamekuwa hodari wa kurukia hoja kila kukicha!
unafanana na jina lako, unafanana na hoja zako pia unafanana na avatar yako.
 
CHADEMA imeanza mwaka 2013 pasipo mashiko wala dira ya waendako. Hali hii ni faida kwa watanzania kwa vile imetupa fursa ya kupata kutambua uwezo wa viongozi wa CHADEMA kuhusiana na maendeleo ya nchi yetu.
Leo ni siku ya tano, Januari 2013 viongozi wao wamekuja na kauli zinazothibitisha ufinyu na uwezo mdogo waliokuwa nao;-
1. Kamati ya Utendaji CHADEMA iliirukia HUTOBA ya Rais JK kuwa amefanya kosa kutoa ratiba ya mchakato wa kuelekea KATIBA MPYA; leo wameumbuliwa na Jaji Warioba.
2. Mbowe katoa kauli ya kumuunga mkono Dr.Slaa kuwa mgombea wa Urais kupitia chama chao 2015; kauli ambayo imethibitisha ukosefu wa demokrasia ndani ya chama chao pamoja na kuwepo kwa mwenyekiti asiyejua mipaka ya kutoa kauli.
3. Leo Kikao cha BAVICHA kimekuja na fungua mwaka ya KUUNGA MKONO Madai ya Watu wa Mtwara yanayoonyesha kuvunja UTAIFA;

Hiki chama hakina muono wa mbali badala yake wamekuwa hodari wa kurukia hoja kila kukicha!

Kichaa cha mb.w.a kimepanda pole sana nenda hospitali ya rufaa iliyokaribu nawe
 
CHADEMA imeanza mwaka 2013 pasipo mashiko wala dira ya waendako. Hali hii ni faida kwa watanzania kwa vile imetupa fursa ya kupata kutambua uwezo wa viongozi wa CHADEMA kuhusiana na maendeleo ya nchi yetu.
Leo ni siku ya tano, Januari 2013 viongozi wao wamekuja na kauli zinazothibitisha ufinyu na uwezo mdogo waliokuwa nao;-
1. Kamati ya Utendaji CHADEMA iliirukia HUTOBA ya Rais JK kuwa amefanya kosa kutoa ratiba ya mchakato wa kuelekea KATIBA MPYA; leo wameumbuliwa na Jaji Warioba.
2. Mbowe katoa kauli ya kumuunga mkono Dr.Slaa kuwa mgombea wa Urais kupitia chama chao 2015; kauli ambayo imethibitisha ukosefu wa demokrasia ndani ya chama chao pamoja na kuwepo kwa mwenyekiti asiyejua mipaka ya kutoa kauli.
3. Leo Kikao cha BAVICHA kimekuja na fungua mwaka ya KUUNGA MKONO Madai ya Watu wa Mtwara yanayoonyesha kuvunja UTAIFA;

Hiki chama hakina muono wa mbali badala yake wamekuwa hodari wa kurukia hoja kila kukicha!

Sijakuelewa Kabisa!!! Humu jf 95% wanaupeo mkubwa sana wakupambanua mambo na wewe sio mmoja wao kwa hoja zako dhaifu sana na zisizo na mwanzo wala mwisho...
 
CHADEMA imeanza mwaka 2013 pasipo mashiko wala dira ya waendako. Hali hii ni faida kwa watanzania kwa vile imetupa fursa ya kupata kutambua uwezo wa viongozi wa CHADEMA kuhusiana na maendeleo ya nchi yetu.
Leo ni siku ya tano, Januari 2013 viongozi wao wamekuja na kauli zinazothibitisha ufinyu na uwezo mdogo waliokuwa nao;-
1. Kamati ya Utendaji CHADEMA iliirukia HUTOBA ya Rais JK kuwa amefanya kosa kutoa ratiba ya mchakato wa kuelekea KATIBA MPYA; leo wameumbuliwa na Jaji Warioba.
2. Mbowe katoa kauli ya kumuunga mkono Dr.Slaa kuwa mgombea wa Urais kupitia chama chao 2015; kauli ambayo imethibitisha ukosefu wa demokrasia ndani ya chama chao pamoja na kuwepo kwa mwenyekiti asiyejua mipaka ya kutoa kauli.
3. Leo Kikao cha BAVICHA kimekuja na fungua mwaka ya KUUNGA MKONO Madai ya Watu wa Mtwara yanayoonyesha kuvunja UTAIFA;

Hiki chama hakina muono wa mbali badala yake wamekuwa hodari wa kurukia hoja kila kukicha!

peleka pumba zako kwa wenye mtazamo wakibunju kama wewe
 
Nenda kachukue posho yako haraka kwani umeshatimiza ulilotumwa.
CHADEMA imeanza mwaka 2013 pasipo mashiko wala dira ya waendako. Hali hii ni faida kwa watanzania kwa vile imetupa fursa ya kupata kutambua uwezo wa viongozi wa CHADEMA kuhusiana na maendeleo ya nchi yetu.
Leo ni siku ya tano, Januari 2013 viongozi wao wamekuja na kauli zinazothibitisha ufinyu na uwezo mdogo waliokuwa nao;-
1. Kamati ya Utendaji CHADEMA iliirukia HUTOBA ya Rais JK kuwa amefanya kosa kutoa ratiba ya mchakato wa kuelekea KATIBA MPYA; leo wameumbuliwa na Jaji Warioba.
2. Mbowe katoa kauli ya kumuunga mkono Dr.Slaa kuwa mgombea wa Urais kupitia chama chao 2015; kauli ambayo imethibitisha ukosefu wa demokrasia ndani ya chama chao pamoja na kuwepo kwa mwenyekiti asiyejua mipaka ya kutoa kauli.
3. Leo Kikao cha BAVICHA kimekuja na fungua mwaka ya KUUNGA MKONO Madai ya Watu wa Mtwara yanayoonyesha kuvunja UTAIFA;

Hiki chama hakina muono wa mbali badala yake wamekuwa hodari wa kurukia hoja kila kukicha!
 
Mimi kwanza nasikitika na kauli ya mtoa maada.Namwona kama uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana.Hoja anazojaribu kuzijenga hapa hazina mashiko yoyote yale.

Kwanza aelewe jaji Warioba ni bianadamu kama wengine na si kila asemacho yeye ndo kiko sahihi hapana.Siamini Jaji Warioba ana akili za kuzidi watanzania wote na kauli aliyoitoa ni msimamo na mwono wake na si wa watanzania.
Mbowe kumwunga mkono dr Slaa si kosa,ni demokrasia.katiba ya nchi inaruhusu mtu kutoa hisia zake na kupata habari bila ya kuingiliwa na yeyote sasa wapi kavunja demokrasia.
Bavicha kuunga mkono watu wa mtwara wala si kosa.nadhani tu hukijui kitu wanakihitaji watu wa mtwara.mimi nimeifuatilia sana swala hilo lakini watu wengi wameonekana kutofahamu madai ya watu wa mtwara.madai ya watu wa mtwara si kutaka gesi ile itumike mtwara tu hapana.wanachotaka ni kwa nini ile mitambo isijengwe mtwara na badala yake ijengwe dar?pamba izalishwe shinyanga lakini kiwanda kijengwe morogoro wapi mantiki yake?hicho ndo kitu wanachohoji wanamtwara.jamani tusikurupuke tu kudandia maada tusugue vichwa kujielimisha zaidi ili kujua ukweli wa mambo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom