mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,525
- 1,177
eti wamechakachua....na bado hapo hujaona kitu subiri 2014 ndio utajua ka hua wanachakachua au ni vitu LIVE
![]()
Angalia vizuri hizo picha zote ni za jana kwenye mkutano wa Chadema Morogoro, picha hizi majukwaa yanafanana, tofauti ipo kwenye bendera picha moja ina bendera ingine aina, halafu angalia nyuma kabisa picha moja inaonyesha nyumba ingine aina nyumba.
JF daima....:clap2:
![]()
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
![]()
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tuMasalaKulangwasource mjengwa![]()
Hebu tuambie Nassari ndiyo yupi hapa?
![]()
tatizo lako unakurupuka mno ni bora sana uwe unamsoma mtu kabla hujakurupuka. Unapoandikiwa source jaribu kuitafuta ujue nini kilichoko huko kabla hujapost chochoteunamaanisha nini? we nawe kumbe kilaza ujue mi nilikuwa nakuheshimu sana na kukuona ni mtu wa busara kumbe kilaza wa ccm kafie mbele
we unapelekewa moto na maruhani
Mimi nataka kuwambia wale watu ambao wana macho yenye akili, waangalie yule mtu mwenye T-shirt jekundu na lile la punda mlia utaona limejirudia rudia, sasa watu kama hawa wanaoweza kuchakachua picha, watashindwa kuua,? kama wanaweza kuwahadaa wananchi kwa picha watashindwa kuhujumu nchi kulipa madeni wanayopata kutoka kwa ma agent wa ushoga ulimwenguni?
![]()
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa