Yaaan mm cku hz cna hbri nao cjui voda,tigo nawakati airtel kaboresha huduma mpka raha vifurushi vya kutosha na vinaeleweke wao waacheni waendelee na ukubwa wa jina tu mwisho watajua nn ni nn
Wanawake ndivyo walivyoumbwa mana wanawahi kuamin na kuingirika kiurahs sana kila tatizo hadi ndoto leo znatafasiriwa na nabii na ndio mana huwa mwisho wa siku wanaambuliwa kuibiwa na pengne kufanyia vitu vya hovyo wakiamin wanapata uponyaji
Mara nyingi huwa nasema na narudia kusema sasa hv chama chochote chenye lengo la kufanya vzr ktk uchaguz wowote kiepuke sana siasa za ujanja ujanja haya mashule ya kata yametia kitu watz wngi kichwan
Mpka hapo magufuli majina ya mawaziri kayaandika mwmywe kwa mkono wake hivyo hata waziri mkuu hajui wala makamu wake leo hii ww unaleta uganga wa kienyeji hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.