Mke wangu kuvaa nguo zangu za ndani

Mke wangu kuvaa nguo zangu za ndani

miaka kadhaaa kwenye ndoa but huwa sielewi kwanini waifu anapenda kuvaa boxer zangu,nimehsajaribu kuhoji but hanipi majibu ya kuridhsha.nashangaa kama hii inatokea kwangu tu au kwa wengine pia
atakuwa amekumbwa na pepo linalomshawishi ajibadilishe jinsia embu weka picha yake tumuone
 
miaka kadhaaa kwenye ndoa but huwa sielewi kwanini waifu anapenda kuvaa boxer zangu,nimehsajaribu kuhoji but hanipi majibu ya kuridhsha.nashangaa kama hii inatokea kwangu tu au kwa wengine pia

Atakuwa Labda Ameona Wewe Ni Mwana Jinsia Mwenzake Wa Kike.
 
Mkuu hiyo safi sana!! awe anavaa na Tshirt na kaptura zako, hayo ni mahaba nigalagaze!!
 
Nunua nyingi tu mkuu akivaa hii unachukua ile. Hawezi kukuambukizia ugonjwa kwani mpo pamoja kila siku. Tena inapendeza saana tu mbona jema sana hilo?? Anakutamani sana kila akiivaa anatamani kuwa laiti ungekuwa umo ndani yake saa zote.
Hili nalo unaomba ushauri?? Ungeomba nini ka angelisema alipita uani kwa mtu akaona boxer akaitamani aivae, miye naona saa hii tungekuja kukusalimia segerea

Jibu sahihi kabisa!
 
Labda mke wake ni sony wega kama snowhite
Ninaamini wew utakuwa mnene na minyama uzembe tele katika mwili wako! Maana kuvaliana boxer na mkeo si mchezo,,,as we know wanawake viono vyao huwa ni vikubwa na mata.ko..
 
Last edited by a moderator:
Hio mbona kawaida tu. mimi napenda akivaa wakati wa kulala na ninazo boxers kama 60 au zaid.
 
Hayo ndo mapenzi,hapo anafanya protectionism and expansionism!
 
Hii taamu, ss nimepata jibu why huvaa singled zangu!
 
miaka kadhaaa kwenye ndoa but huwa sielewi kwanini waifu anapenda kuvaa boxer zangu,nimehsajaribu kuhoji but hanipi majibu ya kuridhsha.nashangaa kama hii inatokea kwangu tu au kwa wengine pia
Sasa na wewe vaa chupi na sidiria zake itakuqa ngoma droo
 
Ni kawaida sanaaa, stop the selfishness. . Kama it makes her happy muache avae
Zikitanuka c mtanunua zingine mkuu
Mi mwenyewe navaa boxers, vests, t-shirts na shirts na chochote ntakachojisikia
 
Anakuzereu kaka we unamatako kama mkeo au mnalingana maumbile?
 
Mapenzi yanaendesha dunia ila na waganga wameshika kunako.
 
sasa kama unashangaa ngoja akiacha kuvaa zako atavaa za mwanaume mwingine. anaonyesha anakupenda tuu. Pukudu si anakupa freshi?
 
Back
Top Bottom