kwa ushauri huu unamwakikishia huyu dada aendelee kuwa mtenda dhambi ya uzinzi milele.Naomba umkumbushe kuwa Mungu anakuja,hivyo kwa style hiyo tayari anaioma nafasi yake ktk ufalme wa mbinguni.
ushauri wangu kwa mdada ni kuachana na huyo bwn aanzishe maisha mapya yatakayomtia amani na furaha ya...
huwezi sema hiyo ni hasara waliyoipata hao ccm,pengine km walishurutishwa kuwalipa kiasi hicho,la sivyo hiyo ndo thamanini ya pesa kwa hao wahusika.ni sawa na wewe unavyoridhia kununua kiberiti kwa sh 100,huwezi ita hiyo ni hasara kwako.
duh! naamua kuachana na kazi hii ya ualimu,maana naona kupitwa na mambo mazuri,kila anayejitokeza kutafuta mme hamtaki mwalimu.Heri nusu shari...maana naona naweza ishia kuwamimba wanafunzi tu.
wadau nipo jiji la kampala ni siku ya tatu sasa nipo hapa,si utani hawa kina sebho na nyabho wanajua kula maisha,kwa nilichoshuhidia kwa muda huu bongo tunasubiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.