Recent content by xJoe

  1. X

    Kituo kikuu cha Polisi Shinyanga Wamnyima ndugu yangu kanyimwa Dhamana

    tahadhari; wengi humu ni wapangaji ila kwa kuwa umewafata mwenyewe mameno hawatakunyima
  2. X

    Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

    kwa ushauri huu unamwakikishia huyu dada aendelee kuwa mtenda dhambi ya uzinzi milele.Naomba umkumbushe kuwa Mungu anakuja,hivyo kwa style hiyo tayari anaioma nafasi yake ktk ufalme wa mbinguni. ushauri wangu kwa mdada ni kuachana na huyo bwn aanzishe maisha mapya yatakayomtia amani na furaha ya...
  3. X

    UKAWA waingia hasara kubwa Harambee Mlimani City!

    huwezi sema hiyo ni hasara waliyoipata hao ccm,pengine km walishurutishwa kuwalipa kiasi hicho,la sivyo hiyo ndo thamanini ya pesa kwa hao wahusika.ni sawa na wewe unavyoridhia kununua kiberiti kwa sh 100,huwezi ita hiyo ni hasara kwako.
  4. X

    Wanaume tuheshimiane

    njoo ujitulize hapa mama pasipo na stress
  5. X

    UKAWA waingia hasara kubwa Harambee Mlimani City!

    hivyo unamaanisha walioingia kuchangia pale ukumbini walikuwa ni 1. mamalishe 2. waendesha bodaboda 3. bar maid 4. ...
  6. X

    New Original DELL Mini laptop for sale

    ndo Tshs ngapi mkuu?
  7. X

    True love

    duh! naamua kuachana na kazi hii ya ualimu,maana naona kupitwa na mambo mazuri,kila anayejitokeza kutafuta mme hamtaki mwalimu.Heri nusu shari...maana naona naweza ishia kuwamimba wanafunzi tu.
  8. X

    Changia UKAWA/Lowassa kwa Tigo Pesa, M Pesa na Airtel Money kwa njia hii

    wafadhiri wameshasoma mchezo kuwa hakuna ushindi hapo.
  9. X

    Karibuni twende kanisani

    amen,barikiwa pia
  10. X

    Natafuta mume aliye serious

    tuanzishe mahusuano ya awali mrembo kwa safari yetu ya ndoa
  11. X

    Kampala inabamba kwa starehe

    mkuu sijatembea kwa mguu kufika hapa kampala.
  12. X

    Kampala inabamba kwa starehe

    wadau nipo jiji la kampala ni siku ya tatu sasa nipo hapa,si utani hawa kina sebho na nyabho wanajua kula maisha,kwa nilichoshuhidia kwa muda huu bongo tunasubiri
  13. X

    Wizi wa mafuta Petrol Stations

    mkuu utajuaje pump inatoa mafuta na si hewa?
  14. X

    Slow Love Songs Fans

    umenikumbusha "my love" ni filam ya kinigeria pia
Back
Top Bottom