Walimu ni changamoto, Nimeapa kwa watoto wangu wa kiume na kike nisije sikia mtoto analeta mchumba eti mwalimu katika huu uhai wangu..., labda mm sio baba yao.
Mfumo wako wa stock counting na mauzo ya siku sio poa, unaweza funga mfumo wa computer, kila anachouza anajaza kwenye dairy page ktk computer, akifunga duka jioni ww unapata taarifa hata kwenye simu yako, nn ameuza, nini kimebaki dukani, cash tsh ngani, amekopesha nini na thamani yake, hapa...
Hii fani soko lake la ajira ni dogo mno., ni nadra saana kupata kiwanda kinachohitaji fani hiyo.,Ila usikate tamaa.., ukiona kazi za extension we omba., utakwenda kufit huko huko ndani., unaweza kuajiliwa as extension ndani kupata field ya food science.,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.